Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Umepiga na gharama za ulemavu?Hapana...nataka niende dar niwe napata 30,000 kwa siku....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepiga na gharama za ulemavu?Hapana...nataka niende dar niwe napata 30,000 kwa siku....
Karibu Sana ila kabla hujaacha KAZI usisahau kuwa diesel imepanda beiWakuu hamjambo??
Niende Moja kwa moja kwenye mada...Mimi nipo Kanda ya ziwa nilikuwa nafanya kazi sehemu kwa bahati nzuri nilijikusanya kwa mshahara wa 400,000 nikafanikiwa kununua pikipiki
Nataka kuacha kazi hii ya ualimu niende Dar kuendesha boda hasa bolt...make naona kama nachelewa kutafuta maisha... mshahara haunitoshi kabisa..
Hivyo wadau mlipo Dar na mnaondesha boda uko Dar baishara hii ipoje...make lengo langu nataka nipate 30,000 kwa mwezi...
Karibuni wadau kwa ushauri...nimechoka kuajiriwa pia nilivyokosa hizi kazi za ualimu za serikali ndo nimekata tamaa kbs