toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Alafu kweli dogolasi anavizia nimelala anachukua mpira anaenda sijui wapi wakati najua lesseni yake ya juzi tu alafu anarud anapaki vile vile majirani masnitch ndio wananiambia me najifanya sijui ngoja aibutue siku ndio atajua kumbe nlikuwa najua, Malena wengi sanaDar ma learner ni wengi kuliko madereva walioiva ujitahidi kuwa makini wasije kukutawanyisha kama umepigwa na rpg
Ni sawa mkuu mimi nimeendesha bajaji mwanza, dar miaka ya nyuma kijiwe ni muhimu hata hiyo bolt lazima wakurequest sehemu zenye population kubwa na huko kuna vijiwe vya watuMimi naenda kutegemea bolt sio vijiwe
Unajua kuendesha kihuni..? Nina maana yanguSanaa Tena sana
Kihuni unamanisha Nini???make na Mimi nipo vzr sana ..aisee kama Kuna folen ndo huwa nazipendaUnajua kuendesha kihuni..? Nina maana yangu
😂😂😂 njoo na hiyo tvs yakobwashee, mimi napaki riverside na mloganzila marachachache karibu sana mzizimaKihuni unamanisha Nini???make na Mimi nipo vzr sana ..aisee kama Kuna folen ndo huwa nazipenda
Upo sahihi kuna basi za mbeya pia hazicheki na wowoteDar ma learner ni wengi kuliko madereva walioiva ujitahidi kuwa makini wasije kukutawanyisha kama umepigwa na rpg
MwendokasiUpo sahihi kuna basi za mbeya pia hazicheki na wowote
Bora mwendokasi ipo kwenye njia yake labda boda ajipendekeze mwenyeweMwendokasi
Unapapenda buguruni 🤣Dah nakwosa Ata cha kukushauri anyways ujue kuna gharama ya kiingilo cha kijiwe
👉Ni 200k + hadi milion moja kulingana na eneo la egesho
👉Upange, nyumba bei kuanzia 30k-60j huko buguruni, magomeni, manzese
Kimara 40k - 60k
👉Bill za maji si chini ya 5k-20k kutegemea na nyumba
👉Umeme si chini ya 10k-15k kwa mwezi kulingana na nyumba
Mengine utajikadiria bajeti ya maji ni 1400x30siku =42000 kwa maji special chupa mbili za Lita moja na nusu
Maji ya kandoro ni 400 x30siku=12000 chupa mbili
Utaamua Sasa wewe Kula si chini ya 140k kwa mwezi kama utatumia 5000 Kila siku
Bora mwendokasi ipo kwenye njia yake labda boda ajipendekeze mwenyewe
Kwanini babu wewe umejuaje Kama napapenda😂Unapapenda buguruni 🤣
Hahaha 🤣Kwanini babu wewe umejuaje Kama napapenda😂
Sipapendi huko mzee, marafiki zangu wote walioko gongo la mboto Kila mara wanalia, shida shida tu, alafu huko mtu huwezi hamasika kukua kimaisha, bora buguruni panavonuka unaweza Pata hasira ya kuhama😂chapu chapuHahaha 🤣
Baba wewe lazima upataje buguruni Kila unapoiongelea dar
Kwani gongo la mboto hawezi kwenda kuishi? Asile awe anafunga
Sehemu inaitwa buguruni malapa😂na kweli watu wake wapo tayari wapige anza Kanon, mpaka mwananchi na malapa, ili wasevu Mia 600 ya nauli, alafu wauza mito kama woteHahaha 🤣
Baba wewe lazima upataje buguruni Kila unapoiongelea dar
Kwani gongo la mboto hawezi kwenda kuishi? Asile awe anafunga
Ni noma sanaaaa mkuuu 😂Sehemu inaitwa buguruni malapa😂na kweli watu wake wapo tayari wapige anza Kanon, mpaka mwananchi na malapa, ili wasevu Mia 600 ya nauli, alafu wauza mito kama wote
au basi tu..Wakuu hamjambo??
Niende Moja kwa moja kwenye mada...Mimi nipo Kanda ya ziwa nilikuwa nafanya kazi sehemu kwa bahati nzuri nilijikusanya kwa mshahara wa 400,000 nikafanikiwa kununua pikipiki
Nataka kuacha kazi hii ya ualimu niende Dar kuendesha boda hasa bolt...make naona kama nachelewa kutafuta maisha... mshahara haunitoshi kabisa..
Hivyo wadau mlipo Dar na mnaondesha boda uko Dar baishara hii ipoje...make lengo langu nataka nipate 30,000 kwa mwezi...
Karibuni wadau kwa ushauri...nimechoka kuajiriwa pia nilivyokosa hizi kazi za ualimu za serikali ndo nimekata tamaa kbs
ukienda utawaona vijana wanavo endsha pikpik kwa fujo wakipishana na magar utazan kifo hakipo. hku wamevaa bukta fupi kama watotoKihuni unamanisha Nini???make na Mimi nipo vzr sana ..aisee kama Kuna folen ndo huwa nazipenda