anonymous_blue
Member
- May 7, 2017
- 45
- 58
- Thread starter
- #21
Dini hairusu 🧐Ukivuta inakuwaje? Unataka kuacha sababu watu wanasema Ni mbaya au sababu Ina side effect mbaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini hairusu 🧐Ukivuta inakuwaje? Unataka kuacha sababu watu wanasema Ni mbaya au sababu Ina side effect mbaya?
I agree.Kuacha kitu ulichokizoea ni shida,mwenyewe kuna kitu nimekuwa addicted nashindwa acha japo nafight sana.Ko hapo kaz unayo mtoto wangu
Endelea kuvuta kayaHabarin wana JF. Mimi ni kijana mwenye Umri 28. Moja kwa moja niende kwenye kichwa husika
Nimekua mvutaji wa bangi kwa miaka kama mi3 mpaka sasa, Nataman sana niache kwasabab nimeambiwa ni dhambi na dini hairuhusu kila nkijitaid kukaa bila kuvuta najikuta narud tena. Naomben ushaur nifanyaje?
😅😅😅Mie kuna kipnd nlijaribu,ila cha ajabu ikawa inanivurugia bajet zangu,due unga kilo tano haimaliz cku mbili,yaan kiujumla ilinifanya nikawa nakula sanaa,at the end nikaacha tu
Coffee ☕.I agree.
Hata mimi kuna kitu najitahidi kuacha lakini ikifika muda nahisi kukihitaji nateseka sana kujizuia nasema tu leo mwisho. Ila ni mateso sana kuacha kitu ulichozoea.
Bangi ni moja ya stimulus nzuri sana ya ubongo..! Inakufanya uione dunia katika uhalisia wake..ni dawa mujarabu hasa! Usiache kula mmea mdogo wangu..!
[emoji106][emoji106][emoji28][emoji28] level nyngnine sio dunia hii yan nasafir angami ni taam bhnaa
Nakushaur usijarib ukila jani.hutoachaM natamani nianze kuvuta bangi..naombeni experience...mana nmechoka kusimuliwa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado hujawa na strong reason(s) why unataka kuiacha kwa sababu attachment yake ni very strong. I smoked about 8 years non stop ila niliamua kuacha kwa cku1 kwa sababu nilikua navuta nakua relaxed na kuenjoy lakini ckutaka niendelee na hyo style ktk maisha yangu yote hasa ntakapoanzisha familia ambapo nilihisi ningeweza kuwaambukiza familia pasi wao kua na uwezo wa kujicontrol. Lakn pia nilianza program ya meditation ambayo nikajikuta nnapomeditate napata vibration ya juu zaid ya niliyokua nikiipata ktk stim ya ganja. Nilifanya maamuzi within a day huku nikiwa nimeinyonga nikaitupa and now ni mwaka wa pili I'm no longer need it again.Habarin wana JF. Mimi ni kijana mwenye Umri 28. Moja kwa moja niende kwenye kichwa husika
Nimekua mvutaji wa bangi kwa miaka kama mi3 mpaka sasa, Nataman sana niache kwasabab nimeambiwa ni dhambi na dini hairuhusu kila nkijitaid kukaa bila kuvuta najikuta narud tena. Naomben ushaur nifanyaje?
Tupe darasa mkuu kwa njia ya kumeditate unapataje ladha za juu ya bangiBado hujawa na strong reason(s) why unataka kuiacha kwa sababu attachment yake ni very strong. I smoked about 8 years non stop ila niliamua kuacha kwa cku1 kwa sababu nilikua navuta nakua relaxed na kuenjoy lakini ckutaka niendelee na hyo style ktk maisha yangu yote hasa ntakapoanzisha familia ambapo nilihisi ningeweza kuwaambukiza familia pasi wao kua na uwezo wa kujicontrol. Lakn pia nilianza program ya meditation ambayo nikajikuta nnapomeditate napata vibration ya juu zaid ya niliyokua nikiipata ktk stim ya ganja. Nilifanya maamuzi within a day huku nikiwa nimeinyonga nikaitupa and now ni mwaka wa pili I'm no longer need it again.
Acha kwanza kuangalia zile video pendwa 😄Kuacha kitu ulichokizoea ni shida,mwenyewe kuna kitu nimekuwa addicted nashindwa acha japo nafight sana.Ko hapo kaz unayo mtoto wangu