Nataka nianze kucheza mbio za magari Rally-Tanzania

Nataka nianze kucheza mbio za magari Rally-Tanzania

Dah kweli kila mtu na fani yake...yaani kinachojadiliwa hapa na lugha inayotumika unaweza usielewe chochote..unabaki tu na idea kwamba ni mbio za magari..
 
Nénda iringa ulizia ofisi za mkwawa rally wana garage yao kwahiyo ni rahisi zaidi pia unaweza kusajiliwa hata na timu yao ya kina wapo kina Babu,huwel kijukuu cha mkwawa na wengineo

sent from posta
 
Nénda iringa ulizia ofisi za mkwawa rally wana garage yao kwahiyo ni rahisi zaidi pia unaweza kusajiliwa hata na timu yao ya kina wapo kina Babu,huwel kijukuu cha mkwawa na wengineo

sent from posta
Mkuu niko Dar, nafikiri mambo yatajipa ntapata huku. huwel mwakajana hakumaliza rally kama sikosei
 
Mkuu niko Dar, nafikiri mambo yatajipa ntapata huku. huwel mwakajana hakumaliza rally kama sikosei
Gari yake ilianguka ushindi alichukua Babu ndo maana wakamsajili kwenye timu ya mkwawa rally maana ile timu ni ya kina huwel

sent from posta
 
Mkuu niko Dar, nafikiri mambo yatajipa ntapata huku. huwel mwakajana hakumaliza rally kama sikosei
Huwel saiv ana gari mpya ni hatari, nimemuona kwenye mbio za iringa mwaka huu ile gari ni nzuri labda ashindwe kuitumia
 
Kwenye rally muhimu zaidi ni dereva lazima uwe vizuri sana. Kwa hapa bongo gari yenye uwezo mkubwa sana si kigezo kivile kwa kuwa barabara zinazotumika kwa rally si nzuri sana kiasi kwamba hata kama uko na gari yenye uwezo mkubwa huwezi kutumia uwezo wote wa gari.
Kibongobongo hata ukiwa na runnex au polo zilizo simama na kufanyiwa marekebisho kwenye baadhi ya mifumo yake upo uwezekano mkubwa wa kufanya vizuri.
 
Mi huwa simuelewi Mbatta na kile kigari chake hivi anaamini kuna siku atakuja kushinda kweli?
 
Chukua evo9 au 10. Ufunguliwe dog box hapo kidogo utakuwa umeingia kwenye rally....
Ila Kama una uwezo nunua fiesta Kama ya Ahmed uwehl wa Mkwawa.... Hizo ndo gari za rally sasa hivi.... Japo ni Gharama lakini ni rahisi kufabricate na kuingia barabarani.
umeiona Subaru mpya ya Pandya??
 
Habarini,

Kama nilivyosema hapo juu,

Nataka nianze kushiriki mbio hizi, nafahamu humu kuna wadau wa rally sasa nipeni mwongozo pa kuanzia kujiunga na mshindano haya pia wadau wengi mna prefer gari ipi kati ya Subaru impreza wrx na Evo 9 ni moja ya hizo gari hapo nataka nichukue Japan ambayo pia sijajua ni sehemu ipi Dar naweza kuifanyia Tuning na kupata accesories za kufunga kwa ajili ya rally kama hizo.

Racing Pistons
High flow fuel injectors
High capacity oil cooler

na upande wa suspension
Engine Torque Damper
camber kit
Coil-over suspension system

Na gari amabzo hadi sasa niko kwenye mchakato kuzivuta kwa mchezo ni;
View attachment 541121View attachment 541132View attachment 541123



Wadau wa rally nipeni mawili matatu muhimu kabla sijafikisha gari moja wapo nchini, asanteni wakuu wenzangu.

ni kweli kwa kuanza madereva wengi wanashauri anza na N10 au N9 Subaru....
 
Back
Top Bottom