Nataka nianze kunywa pombe bia gani ni nzuri ya kujifunzia?

Nataka nianze kunywa pombe bia gani ni nzuri ya kujifunzia?

Saveya

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
2,333
Reaction score
2,338
Wana Chitchat habari ya mchana

Kama kichwa cha habari kinavyojionyesha hapo juu, nataka nianze kunywa bia, kwa maana sijawahi kunywa pombe yoyote ile, sasa naomba mnishauri ni bia gani ambayo ni rahisi, na rahisi kwa kujifunzia kwa sisi 'beginners'

Asanteni karibuni sana wana chitchat.
 
Nasikia Serengeti lite ni lakini sio ngumu.
 
Wana Chitchat habari ya mchana
Kama kichwa cha habari kinavyojionyesha hapo juu, nataka nianze kunywa bia,kwa maana sijawahi kunywa pombe yoyote ile, sasa naomba mnishauri ni bia gani ambayo ni rahisi ,na rahisi kwa kujifunzia kwa sisi 'beginners'
Asanteni karibuni sana wana chitchat.
anza na castle lite au serengeti lite
 
Aznza kwanza kunywa Baltika kwa muda wa week moja
Halafu uanze na Serengeti lite

Kama wewe ni ke anza na Redds
 
Wana Chitchat habari ya mchana
Kama kichwa cha habari kinavyojionyesha hapo juu, nataka nianze kunywa bia,kwa maana sijawahi kunywa pombe yoyote ile, sasa naomba mnishauri ni bia gani ambayo ni rahisi ,na rahisi kwa kujifunzia kwa sisi 'beginners'
Asanteni karibuni sana wana chitchat.
Dah...inategemea na sababu pamoja na kipato chako....ikiwa ni kutaka kuzungumza kiingereza pata Safari baridiii....kuondoa udomo zege Balimi inafaa sana...kama ni kuongeza CV bia za nje ndiyo zenyewe...Cha msingi ni bajeti yako tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah...inategemea na sababu pamoja na kipato chako....ikiwa ni kutaka kuzungumza kiingereza pata Safari baridiii....kuondoa udomo zege Balimi inafaa sana...kama ni kuongeza CV bia za nje ndiyo zenyewe...Cha msingi ni bajeti yako tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pamoja mkuu
 
Nimelinda clubs na kwenye masherehe. Pombe siyo dili kama unavyofikiria. Nilikua nimeenda kulinda sherehe moja hivi Kuna jamaa alikunywa kila bia aliyoiona baadaye akaanza kulia na kupiga kelele huku anazunguka ukumbi mzima "NIPHIRENIIII, NIPHIRENIIII"

Jiangalie.
Nakunywa kistaarab tu
 
Back
Top Bottom