Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,727
Anza kupiga safari za moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ushauri ni nzuri sana niliompa na unaendana na mada.Toa ushauri kulingana na mada basi
Bavaria ni kinywaji classic hata nikienda club huwa napata BavariaBavaria sio pombe mkuu na soda ya kiwango kingine.
Kunywa Baltika uzoee ile ladha then unakuja kunywa Serengeti lite.
Angalizo: Baltika pia sio pombe
Safari ni ngumu sanaAnza kupiga safari za moto
sawa han.. njoo pm basi naona unafaa sanaHuo ushauri ni nzuri sana niliompa na unaendana na mada.
Bavaria sio pombe mkuu na soda ya kiwango kingine.
Kunywa Baltika uzoee ile ladha then unakuja kunywa Serengeti lite.
Angalizo: Baltika pia sio pombe
piga balimiSafari ni ngumu sana
Kwani mkuu kunywa pombe ni kuharibika?Unataka kuharibikia ukubwani
Balimi imekaa kishamba hii mkuu ukinywa unaonekana ni 'mshamba na malimbukeni'piga balimi
sindikiza na nyama choma
usiinywe kwa haraka haraka
hakikisha una muda wa kutosha
kunywa huku unapiga stori flani na washkaji au inaangalia movie flani kali
Hakikisha unaenda mdogo mdogo
Niite nikupe kampani kama uko Dar, hahaha
Umeongea kwa hisia kali, imekufanyaje pombe eti mamilooKunywa pombe sio sifa. Achana na pombe zinaaibisha sana endapo ukishindwa kuzihimili.
Utaabika sana, utaaibisha watoto wako na ndugu zako.
ndugu kwa haya maneno bora usinyweBalimi imekaa kishamba hii mkuu ukinywa unaonekana ni 'mshamba na malimbukeni'
Unampitisha njia ndefu sanaBavaria sio pombe mkuu na soda ya kiwango kingine.
Kunywa Baltika uzoee ile ladha then unakuja kunywa Serengeti lite.
Angalizo: Baltika pia sio pombe
Dah!ndugu kwa haya maneno bora usinywe
utakuwa hatari zaidi kwa matusi na kejeli
Umeshawahi kuonja[emoji485],Huo ushauri ni nzuri sana niliompa na unaendana na mada.
Wine gani?Nakushauri anza na wine [emoji485] kidogo kidogo