Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Una maswali wewe, nenda katafute wine yoyote yenye kilevi anza na dompoWine gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maswali wewe, nenda katafute wine yoyote yenye kilevi anza na dompoWine gani?
Wana Chitchat habari ya mchana
Kama kichwa cha habari kinavyojionyesha hapo juu, nataka nianze kunywa bia,kwa maana sijawahi kunywa pombe yoyote ile, sasa naomba mnishauri ni bia gani ambayo ni rahisi ,na rahisi kwa kujifunzia kwa sisi 'beginners'
Asanteni karibuni sana wana chitchat.
Dompolization kipindi tunasoma Chuo kuna washakaji walikuwa wanapenda sana dompo.Una maswali wewe, nenda katafute wine yoyote yenye kilevi anza na dompo
Waoh! Basi hii ndiyo yenyeweSerengeti ni bia nzuri sana. Haina hang over
KB bar tegeta ndiyo huwa napendeleaMi naomba nijue siku utakayoanza kunywa ili nije hayo maeneo pengine naweza kupata tukio la kupost huku jamii forums
Kumbe ushaanza kunywa...!!KB bar tegeta ndiyo huwa napendelea
Kb huwa nakunywaga Bavaria ty,na michemshoKumbe ushaanza kunywa...!!
😁😄😄😄😄Nimelinda clubs na kwenye masherehe. Pombe siyo dili kama unavyofikiria. Nilikua nimeenda kulinda sherehe moja hivi Kuna jamaa alikunywa kila bia aliyoiona baadaye akaanza kulia na kupiga kelele huku anazunguka ukumbi mzima "NIPHIRENIIII, NIPHIRENIIII"
Jiangalie.
Anza na dompo maliza chupa nzima kwa siku,Dompolization kipindi tunasoma Chuo kuna washakaji walikuwa wanapenda sana dompo.
Hii ni Kali kwa mujibu wa wanywajiDOUBLE-KICK
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shwaini zako[emoji16][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Alifanikiwa alichokua anaomba hapo ukumbini ili aache kupiga kelele?
Hazijanifanya kitu ila zinadhalilisha sana.Umeongea kwa hisia kali, imekufanyaje pombe eti mamiloo
Kwa siku za mwanzo aanze kunywea mafichoni ili ajishuhudie mwenyewe kwanza akilewe anafananaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pombe hawafundishani.. we anza tu hata na GONGO sawa tu.
Pombe haijawahi mdhalilisha mtu mkuu Kama kichwa chako ni chepesi Kama karatasi usisingizie pombe.Hazijanifanya kitu ila zinadhalilisha sana.
hii kiboko mkuu buku mbili tu chuma inakolea balaaaHii ni Kali kwa mujibu wa wanywaji
Mkuu hizo bia kuna siku zitakuja kukutia hasara, nakushauri anza na Kvant chupa ndogo.Hii ni Kali kwa mujibu wa wanywaji