Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua madhara ya kujifunzia hivyo vitu ukubwani?Kwani mkuu kunywa pombe ni kuharibika?
HapanaUnajua madhara ya kujifunzia hivyo vitu ukubwani?
Kumbe ni pombe mbaya sana
Hakuna pombe inayotoa kitambi, ila haiongezi kitambi maana hakuna pombe zenye kuunguza mafuta, kitambi kinatoka na mazoezi
Dah...inategemea na sababu pamoja na kipato chako....ikiwa ni kutaka kuzungumza kiingereza pata Safari baridiii....kuondoa udomo zege Balimi inafaa sana...kama ni kuongeza CV bia za nje ndiyo zenyewe...Cha msingi ni bajeti yako tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂Banana
anza kaka uonene ubaba ukoje utupe mrejesho 😅Mimi nataka nianze kuvuta bangi...! Pombe imekaa kimama sana
[emoji23][emoji23][emoji23] Asijaribu.Anza na dompo maliza chupa nzima kwa siku,
We hujui pombe kaa kimya!! Bavaria 8.6 ni pombe moja matataBavaria sio pombe mkuu na soda ya kiwango kingine.
Kunywa Baltika uzoee ile ladha then unakuja kunywa Serengeti lite.
Angalizo: Baltika pia sio pombe
kunywa konyagi, au kitoko kesho utupe mrejeshoWana Chitchat habari ya mchana
Kama kichwa cha habari kinavyojionyesha hapo juu, nataka nianze kunywa bia, kwa maana sijawahi kunywa pombe yoyote ile, sasa naomba mnishauri ni bia gani ambayo ni rahisi, na rahisi kwa kujifunzia kwa sisi 'beginners'
Asanteni karibuni sana wana chitchat.
We hujui pombe kaa kimya!! Bavaria 8.6 ni pombe moja matata
Za siku tele mkuu???Hakuna pombe nzuri