Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Baltika haina kilevi (0%).Anza na baltika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baltika haina kilevi (0%).Anza na baltika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseeNimelinda clubs na kwenye masherehe. Pombe siyo dili kama unavyofikiria. Nilikua nimeenda kulinda sherehe moja hivi Kuna jamaa alikunywa kila bia aliyoiona baadaye akaanza kulia na kupiga kelele huku anazunguka ukumbi mzima "NIPHIRENIIII, NIPHIRENIIII"
Jiangalie.
Ngumu sana, usijaribu kama ndio unaanza kunywa bia.Safari ni ngumu sana
We umesikia wapi?Balimi imekaa kishamba hii mkuu ukinywa unaonekana ni 'mshamba na malimbukeni'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndugu kwa haya maneno bora usinywe
utakuwa hatari zaidi kwa matusi na kejeli
Maskini mpaka huruma.Kuna Dada jirani na kwangu anazinywa aiseeeee, analewaa njwiiiii, hadi anafungiwa kwenye boda anarudishwa nyumbani.
Akisikia mkojo sasa hajali yupo wapi anashusha nguo anaumwagaa waaa. Ukimkuta hajanjwa ni mzuri sana ila akishakunywa ni balaa.
Halafu ana mume na watoto aisee, na huyu mume ndio alimfundisha pombe, sasa hivi anajuta.
😂😂😂Banana
Bia haina ukimwi wala kaswendeMimi hela bora nimpe mwanamke yaani uache utamu wa nyapu ukanywe pombe siwezi fanya huo ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Ankooo 🙆Mkuu hizo bia kuna siku zitakuja kukutia hasara, nakushauri anza na Kvant chupa ndogo.
Zingatia: nyama/kitimoto kwa wingi kabla na wakati unakunywa.
Ukizingatia hilo haki ya Mungu nakuapia hicho kiingereza cha kilevi utakisikia kwa wanywa bia,wewe hakitakuhusu.
Karibu chamani, tunywe kwa amani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mwambie bia akitaka aaibike anywe shujaa, hapo atalala mpaka barabaraniDah...inategemea na sababu pamoja na kipato chako....ikiwa ni kutaka kuzungumza kiingereza pata Safari baridiii....kuondoa udomo zege Balimi inafaa sana...kama ni kuongeza CV bia za nje ndiyo zenyewe...Cha msingi ni bajeti yako tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unafika tu na kunifokea...Ankooo [emoji134]
Niulize nini anko wakati mambo yote yako hadharani...Unafika tu na kunifokea...
Anko ungeniuliza kwanza[emoji1][emoji1][emoji1]
Mkuu mimi niko kwenye process ya kupunguza pombe, kuna mtu alinambia nenda taratibu tumia bavaria utazoea na utaacha (yeye pia kwa maelezo yake anasema kilimsaidia sana kuacha) hvi ni kizuri? Ladha yake ni beer? Kipo classic sana hikiBavaria sio pombe mkuu na soda ya kiwango kingine.
Kunywa Baltika uzoee ile ladha then unakuja kunywa Serengeti lite.
Angalizo: Baltika pia sio pombe
EagleWana Chitchat habari ya mchana
Kama kichwa cha habari kinavyojionyesha hapo juu, nataka nianze kunywa bia, kwa maana sijawahi kunywa pombe yoyote ile, sasa naomba mnishauri ni bia gani ambayo ni rahisi, na rahisi kwa kujifunzia kwa sisi 'beginners'
Asanteni karibuni sana wana chitchat.
Me naona tafuta tu starehe nyingine..... Nakushauri tuWana Chitchat habari ya mchana
Kama kichwa cha habari kinavyojionyesha hapo juu, nataka nianze kunywa bia, kwa maana sijawahi kunywa pombe yoyote ile, sasa naomba mnishauri ni bia gani ambayo ni rahisi, na rahisi kwa kujifunzia kwa sisi 'beginners'
Asanteni karibuni sana wana chitchat.
Wewe unastarehe gani mamaMe naona tafuta tu starehe nyingine..... Nakushauri tu
Me starehe yangu kubwa ni kufanya mapenzi.... Japo pombe hua nakunywa lkn sijawai kuona faida yakeWewe unastarehe gani mama