Thread Closed!Banana
Banana
Kumbe ni pombe mbaya sanaHaya mambo ya kuiga iga.kuna madogo wawili walikuwa na sh 700 wakaenda kununua banana.
Moja tu walishindwa kutembea.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
anza na castle lite au serengeti liteWana Chitchat habari ya mchana
Kama kichwa cha habari kinavyojionyesha hapo juu, nataka nianze kunywa bia,kwa maana sijawahi kunywa pombe yoyote ile, sasa naomba mnishauri ni bia gani ambayo ni rahisi ,na rahisi kwa kujifunzia kwa sisi 'beginners'
Asanteni karibuni sana wana chitchat.
Kumbe ni pombe mbaya sana
Sio pombe hiyo.Anza na baltika
Sawa,Aznza kwanza kunywa Baltika kwa muda wa week moja
Halafu uanze na Serengeti lite
Kama wewe ni ke anza na Redds
Dah...inategemea na sababu pamoja na kipato chako....ikiwa ni kutaka kuzungumza kiingereza pata Safari baridiii....kuondoa udomo zege Balimi inafaa sana...kama ni kuongeza CV bia za nje ndiyo zenyewe...Cha msingi ni bajeti yako tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wana Chitchat habari ya mchana
Kama kichwa cha habari kinavyojionyesha hapo juu, nataka nianze kunywa bia,kwa maana sijawahi kunywa pombe yoyote ile, sasa naomba mnishauri ni bia gani ambayo ni rahisi ,na rahisi kwa kujifunzia kwa sisi 'beginners'
Asanteni karibuni sana wana chitchat.
Sawa,
Vipi kuhusu Bavaria?
Toa ushauri kulingana na mada basiKunywa pombe sio sifa. Achana na pombe zinaaibisha sana endapo ukishindwa kuzihimili.
Utaabika sana, utaaibisha watoto wako na ndugu zako.
Pamoja mkuuDah...inategemea na sababu pamoja na kipato chako....ikiwa ni kutaka kuzungumza kiingereza pata Safari baridiii....kuondoa udomo zege Balimi inafaa sana...kama ni kuongeza CV bia za nje ndiyo zenyewe...Cha msingi ni bajeti yako tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakunywa kistaarab tuNimelinda clubs na kwenye masherehe. Pombe siyo dili kama unavyofikiria. Nilikua nimeenda kulinda sherehe moja hivi Kuna jamaa alikunywa kila bia aliyoiona baadaye akaanza kulia na kupiga kelele huku anazunguka ukumbi mzima "NIPHIRENIIII, NIPHIRENIIII"
Jiangalie.