Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
BOT hawatoi mikopo.
Mikopo inatolewa na commercial banks tu.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Mikopo inatolewa na commercial banks tu.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta mashine ya kudarizi ata vichwa viwili.Wakuu habarini za wakati huu. Husika na madam tajwa hapo juu, Nina elimu ya Shahada ya kwanza katika tasnia ya teknolojia ya habari na biashara. (Businesses Information Technology).
Usiku wa kuamkia Leo nimekosa usingizi baada ya kuwa na mawazo ya kuwaza na kuwazua juu ya maisha yangu ya usoni. Nimeamka nikaenda magotini nikasali na kukaa. Ilikuwa ni saa name usiku, baada ya hapo nikawa nawaza cha kufanya. Baadaye nikapata wazo.
WAZO LANGU: Niende Benki kuu (BOT) niombe Mkopo angalau milioni mia 4-5 ninunue mabasi mawili ya mikoani, au
Niende benki ya taifa ya biashara. (NBC) niwaelezee dhamira yangu ya kuomba Mkopo wanipe mlioni 10 - 20 nianzishe biashara ya nguo.
Hayo mawazo mawili yamenisumbua Sana usiku mzima na sijalala wakuu. Japo kwa upande mwingine naona kama ni jambo gumu. Kabla sijaachana nalo, nimeona nije humu nione mnipe miongozo iliyotukuka na ushauri mwanana juu ya hata mawazo yangu mawili.
.Natamani kujua: Je, kwa mtu ambaye siye mtumishi Wa serikali anaweza kuomba Mkopo BOT na kupewa?
.Je, kwa mtu ambaye si mfanya biashara, ambaye Ana ndoto kama zangul anaweza kuomba na kupewa Mkopo kutoka hizi benki nyingine (NBC, NMB, CRDB ......?)
Naombeni ushauri wakuu. Natamani nijiajiri ila mtaji unanitoa jasho.
Duu kumbe elimu yako haijakusaidia nilitegemea hilo wazo lako ungelifanyia utafiti ili uligeuze liwe biashara, (market research analysis), baada ya kufanya utafiti uliandikie mpango wa biashara.Wakuu habarini za wakati huu. Husika na madam tajwa hapo juu, Nina elimu ya Shahada ya kwanza katika tasnia ya teknolojia ya habari na biashara. (Businesses Information Technology).
Usiku wa kuamkia Leo nimekosa usingizi baada ya kuwa na mawazo ya kuwaza na kuwazua juu ya maisha yangu ya usoni. Nimeamka nikaenda magotini nikasali na kukaa. Ilikuwa ni saa name usiku, baada ya hapo nikawa nawaza cha kufanya. Baadaye nikapata wazo.
WAZO LANGU: Niende Benki kuu (BOT) niombe Mkopo angalau milioni mia 4-5 ninunue mabasi mawili ya mikoani, au
Niende benki ya taifa ya biashara. (NBC) niwaelezee dhamira yangu ya kuomba Mkopo wanipe mlioni 10 - 20 nianzishe biashara ya nguo.
Hayo mawazo mawili yamenisumbua Sana usiku mzima na sijalala wakuu. Japo kwa upande mwingine naona kama ni jambo gumu. Kabla sijaachana nalo, nimeona nije humu nione mnipe miongozo iliyotukuka na ushauri mwanana juu ya hata mawazo yangu mawili.
.Natamani kujua: Je, kwa mtu ambaye siye mtumishi Wa serikali anaweza kuomba Mkopo BOT na kupewa?
.Je, kwa mtu ambaye si mfanya biashara, ambaye Ana ndoto kama zangul anaweza kuomba na kupewa Mkopo kutoka hizi benki nyingine (NBC, NMB, CRDB ......?)
Naombeni ushauri wakuu. Natamani nijiajiri ila mtaji unanitoa jasho.
😃Mkuu hongera Kwa wazo zuri swali langu ni jee? Tofauti na mbupu unamiliki Nini kingine?
Harafu ana degree ya bussness informationHuwezi kukopa Benki kuu, sio benki ya aina hiyo.
Hata bei ya mabasi hajuiMbona milioni 500 ni kidogo sio lazima Bank kuu hata CRDB wanatoa ilimradi umekamilisha vigezo, ila pia kiasi hicho cha pesa labda ununue TATA sio basi la mkoani maana mpaka linaanza safari sio chini ya milioni 580 huko na hilo ni moja....zaidi ya basi moja fikiria kuomba zaidi ya billion moja
Anashindwa kupata information, (anashindwa kupata taarifa sahihi), huyu jamaa anatatizo amebobea kuhusu taarifa lakini hawezi kupata taarifa pia kasoma kuhusu biashara halafu hawezi kupata taarifa za biasharaHarafu ana degree ya bussness information
Inasikitisha sanaAnashindwa kupata information, (anashindwa kupata taarifa sahihi)
Ili aweze kufanya biashara lazima apate taarifa na awe na uwezo mzuri wa kutafsiri taarifa, kwa maana anaweza akapata taarifa sahihi lakini akawa hana uwezo wa kutafsiri taarifa kwa usahihi, kwakifupi huyu jamaa hawezi kufanya biasharaAnashindwa kupata information, (anashindwa kupata taarifa sahihi)
Harafu ❌️Harafu ana degree ya bussness information
Hakikisha unaenda kuyazindika vizuri HANDENI la sivyo ndani ya mwezi mmoja utauguaWakuu habarini za wakati huu. Husika na madam tajwa hapo juu, Nina elimu ya Shahada ya kwanza katika tasnia ya teknolojia ya habari na biashara. (Businesses Information Technology).
Usiku wa kuamkia Leo nimekosa usingizi baada ya kuwa na mawazo ya kuwaza na kuwazua juu ya maisha yangu ya usoni. Nimeamka nikaenda magotini nikasali na kukaa. Ilikuwa ni saa name usiku, baada ya hapo nikawa nawaza cha kufanya. Baadaye nikapata wazo.
WAZO LANGU: Niende Benki kuu (BOT) niombe Mkopo angalau milioni mia 4-5 ninunue mabasi mawili ya mikoani, au
Niende benki ya taifa ya biashara. (NBC) niwaelezee dhamira yangu ya kuomba Mkopo wanipe mlioni 10 - 20 nianzishe biashara ya nguo.
Hayo mawazo mawili yamenisumbua Sana usiku mzima na sijalala wakuu. Japo kwa upande mwingine naona kama ni jambo gumu. Kabla sijaachana nalo, nimeona nije humu nione mnipe miongozo iliyotukuka na ushauri mwanana juu ya hata mawazo yangu mawili.
.Natamani kujua: Je, kwa mtu ambaye siye mtumishi Wa serikali anaweza kuomba Mkopo BOT na kupewa?
.Je, kwa mtu ambaye si mfanya biashara, ambaye Ana ndoto kama zangul anaweza kuomba na kupewa Mkopo kutoka hizi benki nyingine (NBC, NMB, CRDB ......?)
Naombeni ushauri wakuu. Natamani nijiajiri ila mtaji unanitoa jasho.
Wakuu habarini za wakati huu. Husika na madam tajwa hapo juu, Nina elimu ya Shahada ya kwanza katika tasnia ya teknolojia ya habari na biashara. (Businesses Information Technology).
Usiku wa kuamkia Leo nimekosa usingizi baada ya kuwa na mawazo ya kuwaza na kuwazua juu ya maisha yangu ya usoni. Nimeamka nikaenda magotini nikasali na kukaa. Ilikuwa ni saa name usiku, baada ya hapo nikawa nawaza cha kufanya. Baadaye nikapata wazo.
WAZO LANGU: Niende Benki kuu (BOT) niombe Mkopo angalau milioni mia 4-5 ninunue mabasi mawili ya mikoani, au
Niende benki ya taifa ya biashara. (NBC) niwaelezee dhamira yangu ya kuomba Mkopo wanipe mlioni 10 - 20 nianzishe biashara ya nguo.
Hayo mawazo mawili yamenisumbua Sana usiku mzima na sijalala wakuu. Japo kwa upande mwingine naona kama ni jambo gumu. Kabla sijaachana nalo, nimeona nije humu nione mnipe miongozo iliyotukuka na ushauri mwanana juu ya hata mawazo yangu mawili.
.Natamani kujua: Je, kwa mtu ambaye siye mtumishi Wa serikali anaweza kuomba Mkopo BOT na kupewa?
.Je, kwa mtu ambaye si mfanya biashara, ambaye Ana ndoto kama zangul anaweza kuomba na kupewa Mkopo kutoka hizi benki nyingine (NBC, NMB, CRDB ......?)
Naombeni ushauri wakuu. Natamani nijiajiri ila mtaji unanitoa jasho.
Khaaaaa......nakushauri tafuta kazi utaacha kuota ndoto za ndotoni...safari ndefu sana....sio rahisi hivyo anza na boda boda kwanza....baada kupata kazi jichange nunua boda kwanza....Wakuu habarini za wakati huu. Husika na madam tajwa hapo juu, Nina elimu ya Shahada ya kwanza katika tasnia ya teknolojia ya habari na biashara. (Businesses Information Technology).
Usiku wa kuamkia Leo nimekosa usingizi baada ya kuwa na mawazo ya kuwaza na kuwazua juu ya maisha yangu ya usoni. Nimeamka nikaenda magotini nikasali na kukaa. Ilikuwa ni saa name usiku, baada ya hapo nikawa nawaza cha kufanya. Baadaye nikapata wazo.
WAZO LANGU: Niende Benki kuu (BOT) niombe Mkopo angalau milioni mia 4-5 ninunue mabasi mawili ya mikoani, au
Niende benki ya taifa ya biashara. (NBC) niwaelezee dhamira yangu ya kuomba Mkopo wanipe mlioni 10 - 20 nianzishe biashara ya nguo.
Hayo mawazo mawili yamenisumbua Sana usiku mzima na sijalala wakuu. Japo kwa upande mwingine naona kama ni jambo gumu. Kabla sijaachana nalo, nimeona nije humu nione mnipe miongozo iliyotukuka na ushauri mwanana juu ya hata mawazo yangu mawili.
.Natamani kujua: Je, kwa mtu ambaye siye mtumishi Wa serikali anaweza kuomba Mkopo BOT na kupewa?
.Je, kwa mtu ambaye si mfanya biashara, ambaye Ana ndoto kama zangul anaweza kuomba na kupewa Mkopo kutoka hizi benki nyingine (NBC, NMB, CRDB ......?)
Naombeni ushauri wakuu. Natamani nijiajiri ila mtaji unanitoa jasho.