Hakuna mwizi mzuri, anayeiba kuku, kiatu, ndara na anayevunja na kuiba gari tv, wote majizi,
Maghu,alizuia wengine wasiibe, sukuma gang ndio walikuwa majizi, mjomba alikuwa boss hazina,shemeji ndio mkandsrasi wa tamisemi, waliopinga wakakutana na kamba za kunyongea za vijana wa makumbusho!
Kulikuwa hakuna uadirifu, watu walikuwa, na hofu.
Angenyonga wezi lakini na ye ye asiibe na genge lake, tungekuwa mbali, ishu ya makinikia, alituingiza mkenge, kesi tumeshindwa, tu nalipa fidia Hao mabeberu, ukienda umwambie, aliowapiga risasi walikuwa wanasema ukweli kuhusu mikataba, na ye ye aombe msamaha,
System yake haikuwa mbaya yote, nchi za Afrika, hatuhitaji wa bunge 250! Wizara 30! Wakuu wa mikoa, wilaya, na upuuzi mwingine, kila halamsshauri kuna kenge wanaitwa maofisa biashara wa wilaya, na maofisa utamaduni!
Mambo ya biashara waaxhiwe TRA,