Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Hatua ya kupotea kwa akina Azorytukiweka unafiki pembeni, Hivi kama yule mzee angekuwepo mpaka sasa sijui tungekuwa tumepiga hatua kiasi gani.
Huko Kankonko awajazikwa mtu?Hatua ya kupotea kwa akina Azory
angelikuwepo mpaka sasa ndio tungetua hatua zipi, kama za kupotea kwa Azory au za maendeleo.Hatua ya kupotea kwa akina Azory
Nenda bwanaaa usitutishe
Mm nilijua huu ni upuuzi aliposema tu kuwa huwez pata ajira Tamisemi au Utumishi hadi utoe chochoteWatu wanafiki sana. Mtu alikuwa pro magufuli Leo anaongea uongo ili kumpromote magufuli.
Jamaa alikua mwamba kweli kwelikweliChuma alikua anatisha bana
Nilipenda sana aina ya Magufuli ya Utawala
Aliipenda kazi na kazi ilimpenda
RIP JIWE
Sura inaongea "mimi sipangiwi yule ntamuuwa"
Wakuu mimi ni miongoni mwa vijana wa kitanzania ambao tulijitahidi kuipata elimu huku tukiamini kupata ajira aidha sekta binafsi au serikalini, lakini mambo yakawa tofauti ni miaka saba sasa imepita na wengine tumeshaanza kusahau hata tulichokisomea kwa sababu tuliamua kufanya mambo mengine nje na elimu zetu ili maisha yaende.
Kiukweli alipokufa magufuli mimi nilikuwa ni miongoni mwa vijana waliofurahi sana, nakumbuka siku hiyo walipotangaza kifo cha magufuli mida ya saa sita usiku.
Mimi nilibubujikwa machozi ya furaha nikiamini kuwa sasa na mimi nakwenda kulamba asali, kwa sababu yule aliekuwa anazibana sector binafsi na kubana kutoa ajira serikalini ametangulia kwa hiyo mambo yatakuwa mtelezo.
Sio siri kwa sasa mambo ndio yamekuwa magumu zaidi huwezi kupata kitu mpaka utoe chochote sio tamisemi wala wizarani sio utumishi wala sector binafsi mambo ni magumu zaidi ya jana.
Unatakiwa uikatae ccm!Wakuu mimi ni miongoni mwa vijana wa kitanzania ambao tulijitahidi kuipata elimu huku tukiamini kupata ajira aidha sekta binafsi au serikalini, lakini mambo yakawa tofauti ni miaka saba sasa imepita na wengine tumeshaanza kusahau hata tulichokisomea kwa sababu tuliamua kufanya mambo mengine nje na elimu zetu ili maisha yaende.
Kiukweli alipokufa magufuli mimi nilikuwa ni miongoni mwa vijana waliofurahi sana, nakumbuka siku hiyo walipotangaza kifo cha magufuli mida ya saa sita usiku.
Mimi nilibubujikwa machozi ya furaha nikiamini kuwa sasa na mimi nakwenda kulamba asali, kwa sababu yule aliekuwa anazibana sector binafsi na kubana kutoa ajira serikalini ametangulia kwa hiyo mambo yatakuwa mtelezo.
Sio siri kwa sasa mambo ndio yamekuwa magumu zaidi huwezi kupata kitu mpaka utoe chochote sio tamisemi wala wizarani sio utumishi wala sector binafsi mambo ni magumu zaidi ya jana.
Kama unaenda kwa sababu ya hiyo basi ni uamuzi wa ovyoWakuu mimi ni miongoni mwa vijana wa kitanzania ambao tulijitahidi kuipata elimu huku tukiamini kupata ajira aidha sekta binafsi au serikalini, lakini mambo yakawa tofauti ni miaka saba sasa imepita na wengine tumeshaanza kusahau hata tulichokisomea kwa sababu tuliamua kufanya mambo mengine nje na elimu zetu ili maisha yaende.
Kiukweli alipokufa magufuli mimi nilikuwa ni miongoni mwa vijana waliofurahi sana, nakumbuka siku hiyo walipotangaza kifo cha magufuli mida ya saa sita usiku.
Mimi nilibubujikwa machozi ya furaha nikiamini kuwa sasa na mimi nakwenda kulamba asali, kwa sababu yule aliekuwa anazibana sector binafsi na kubana kutoa ajira serikalini ametangulia kwa hiyo mambo yatakuwa mtelezo.
Sio siri kwa sasa mambo ndio yamekuwa magumu zaidi huwezi kupata kitu mpaka utoe chochote sio tamisemi wala wizarani sio utumishi wala sector binafsi mambo ni magumu zaidi ya jana.
Endelea kuchapika.....Wakuu mimi ni miongoni mwa vijana wa kitanzania ambao tulijitahidi kuipata elimu huku tukiamini kupata ajira aidha sekta binafsi au serikalini, lakini mambo yakawa tofauti ni miaka saba sasa imepita na wengine tumeshaanza kusahau hata tulichokisomea kwa sababu tuliamua kufanya mambo mengine nje na elimu zetu ili maisha yaende.
Kiukweli alipokufa magufuli mimi nilikuwa ni miongoni mwa vijana waliofurahi sana, nakumbuka siku hiyo walipotangaza kifo cha magufuli mida ya saa sita usiku.
Mimi nilibubujikwa machozi ya furaha nikiamini kuwa sasa na mimi nakwenda kulamba asali, kwa sababu yule aliekuwa anazibana sector binafsi na kubana kutoa ajira serikalini ametangulia kwa hiyo mambo yatakuwa mtelezo.
Sio siri kwa sasa mambo ndio yamekuwa magumu zaidi huwezi kupata kitu mpaka utoe chochote sio tamisemi wala wizarani sio utumishi wala sector binafsi mambo ni magumu zaidi ya jana.