Nataka niende Chato nikaiombe msamaha familia ya Hayati Magufuli

Mtu aliyeweza kuishi mjini wakati wa Magu basi hakuna hali ya uchumi itakayomshinda , na hata hayati mwenyewe alisema .

Mimi pia nilipata changamoto ila nilijaribu shamba na mjini na hatimaye nikarudi kwenye reli.

Pambana na maisha bila kujali ni nani anatawala.

Maisha siyo rahisi haswa kwa mwanaume. Usikate tamaa!
 

Hata angekuwepo mpaka sasa ungeendelea kuteseka tu. Ajira haikua sera yake yule Bwana. Ni afadhali ya sasa. Nawajua washikaji kibao waliopata ajira straight baada ya kumaliza chuo bila kutoa hata senti kumi. Mlilie Mungu wako akufungulie njia. Kulilia kaburi ni sawa na kutambika mizimu. Kaburi la Magufuli halitoi ajira. Acha kudeka! Hakuna wa kukuhurumia usipofikiria nje ya Box
 
Unatakiwa uikatae ccm!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mwizi mzuri, anayeiba kuku, kiatu, ndara na anayevunja na kuiba gari tv, wote majizi,
Maghu,alizuia wengine wasiibe, sukuma gang ndio walikuwa majizi, mjomba alikuwa boss hazina,shemeji ndio mkandsrasi wa tamisemi, waliopinga wakakutana na kamba za kunyongea za vijana wa makumbusho!
Kulikuwa hakuna uadirifu, watu walikuwa, na hofu.
Angenyonga wezi lakini na ye ye asiibe na genge lake, tungekuwa mbali, ishu ya makinikia, alituingiza mkenge, kesi tumeshindwa, tu nalipa fidia Hao mabeberu, ukienda umwambie, aliowapiga risasi walikuwa wanasema ukweli kuhusu mikataba, na ye ye aombe msamaha,
System yake haikuwa mbaya yote, nchi za Afrika, hatuhitaji wa bunge 250! Wizara 30! Wakuu wa mikoa, wilaya, na upuuzi mwingine, kila halamsshauri kuna kenge wanaitwa maofisa biashara wa wilaya, na maofisa utamaduni!
Mambo ya biashara waaxhiwe TRA,
 
Kama unaenda kwa sababu ya hiyo basi ni uamuzi wa ovyo


Hakuna raisi yoyote ambaye anaweza kurekebisha tatizo la ajira

Shida kubwa ipo kwenye mfumo mbovu wa elimu, kibaya zaidi unazalisha watu wengi zaidi kupitia BRN


Hata wasio na uwezo wanafika chuo kikuu

Idadi kubwa ya wasomi (wengi uchwara) ukijumlisha mfumo mbovu wa elimu = unemployment
 
Endelea kuchapika.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…