Nataka niende kwa mumewe kumuelezea alichonifannyia


Kwa wasiojua huyu ndio GURU GUJA.

 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hakikisha unasema vyote mlivofanya.
 
Dah kuna jamaa hapa kaniambia eet umetoa macho kama jusi guruguja[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Maendeleo hayana chama
 
Unavyo enda beba na mafuta Mkuu utanishukuru baadae [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu Nadhani Anahitaji BAWASILI kwa Nguvu[emoji849]
 
Hamna duka hapo, ushaliwa ivo half unaenda kuanza-anzaje sas kumsimulia mume mwenzio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…