Guru Guja
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 217
- 285
Huyu dada alikuja kwangu dukani jioni hakutaka kuondoka mpaka tukabaki wawili wakati wa kufunga duka.
Akanishawishi tukafanya mapenzi. Akaomba nguo mbili akajaribu. Mimi najua anakoishi ni jirani yangu wa zamani wakati nimepanga nyumba Kijitonyama.
Nilimwabia achukue nguo moja akasema anaenda jaribu ili mdogo wake amwambie ipi nzuri zaidi. Mpaka leo hajarudisha. Mimi nilimkubalia moja yeye kachukua 2.
Mimi nataka nimfuate mume wake nimwambie mkewe hataki nirudishia nguo yangu moja sababu tulikubaliana achukue moja tu na si 2.
Leo au kesho namfuata nimwambie kila kitu.
Akanishawishi tukafanya mapenzi. Akaomba nguo mbili akajaribu. Mimi najua anakoishi ni jirani yangu wa zamani wakati nimepanga nyumba Kijitonyama.
Nilimwabia achukue nguo moja akasema anaenda jaribu ili mdogo wake amwambie ipi nzuri zaidi. Mpaka leo hajarudisha. Mimi nilimkubalia moja yeye kachukua 2.
Mimi nataka nimfuate mume wake nimwambie mkewe hataki nirudishia nguo yangu moja sababu tulikubaliana achukue moja tu na si 2.
Leo au kesho namfuata nimwambie kila kitu.