Nataka niendeshe bodaboba msinigonge huko barabarani

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,aisee mbona unanitisha,mpaka unanifanya nifikirie kusitisha zoezi!
Hahahaaa. Lol.

Ukiona hivyo ndio nia yangu hiyo. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaaa. Lol.

Ukiona hivyo ndio nia yangu hiyo. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aisee!nimesitisha!nisije nikapotelea Tanga!

Kama wenyeji mmenitahadharisha,mimi ni nani nipinge!
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ yaani shost thread zako hazijawahi kunichosha
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Miss kuna kirikuu hapa nimekifungia ndani baada ya dereva kutoleta hesabu.

Kwa wewe nitakupa hesabu ndogo sana kwa siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…