Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,301
- 8,706
Niaje wakuu.. Kuna Hii Biashara ya Vibanda vya Movie naona ina return nzuri asee.. 30K per Day kawaida sana. Nimeipenda kwani ina mtaji mdogo lakini pia ni ngumu kuleta Hasara na pia rahisi kufanya.
Sasa mie nataka niweke Goli hilo liwe la kuuzia Movies, Miziki, vitu kama Flash na accessories ndongo ndogo za kielekroniki.
Pia nifanye huduma ya SOFTWARE na Hardware technology.. kama kuflash simu na kuweka softwares na Windows 🪟.
Mungu akijalia niweke na KiMpesa na kama Mtaji Ukikua niuze na Simu kabisa Hapo.
Hii ni Plan yangu Mpaka sasa..
Kwenu nyinyi wazoefu naombeni mnipe mwanga maana mie ndo naanza.
Asanteni..
Sasa mie nataka niweke Goli hilo liwe la kuuzia Movies, Miziki, vitu kama Flash na accessories ndongo ndogo za kielekroniki.
Pia nifanye huduma ya SOFTWARE na Hardware technology.. kama kuflash simu na kuweka softwares na Windows 🪟.
Mungu akijalia niweke na KiMpesa na kama Mtaji Ukikua niuze na Simu kabisa Hapo.
Hii ni Plan yangu Mpaka sasa..
Kwenu nyinyi wazoefu naombeni mnipe mwanga maana mie ndo naanza.
Asanteni..