Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Ukioa mwanamke anatakiwa kujihusisha na mambo ya kwao kwa ruhusa yako.
Ukiona anafanya kwa kuamua na ndugu zake Basi Ni afadhali akaishi na ndugu zake tu ijulikane moja.

Labda uniambie alijilipia mahari
Mkuu nililipa mali tena ilikuwa deni kila siku wanakumbushia!
 
Mkuu kwanza pole sana aisee, hapo mwanamke huna, ingekuwa ndo mimi ningeshaacha lisereleke tu,
 
Umenena vyema mkuu
 
Nimeyapima kwa mizani kubwa nimeona hayabebeki. Achana nae mapema tu kabla hujajiangamiza kwa maradhi yasiyoambukiza na ya kuambukiza pia.

Mimi nimesomesha mke na nimemuacha na sasa naishi kwa amani.
 
Usipofanya maamuzi magumu mtagawana Majengo ya serikali. Ni ama wewe utaenda JELA au Yeye Ataenda MOCHWARI. Nadhani umenielewa. Ndoa yenu imefikia Point of No return otherwise Ipo siku Mmoja atazikwa na mwingine ataozea jela.



Nakushauri Fanya maamuzi magumu.
 
A AKija wakacheki afya wezakuta ameenda kutafuta ada.
 
Kama unampenda mkeo jikaze mumsomeshe bwashee wako. Toa ushirikiano ndio mzigo wako huo .
 
Ndoa ndoa ndoa....ama Kushi na mke kuishi na mke kuishi na mke!
Mitihani saana.

Kuna wakati najihisi napata tabu za maisha kwa sababu niliwahi kuzaa na mwanamke.
Ukishazaa naye anakupeleka atakavyo mpaka ukome,bahati mbaya uwe na moyo wa huruma kama mimi! Utajuta.
Sema sasa hivi,nimekuwa jasiri... Hafurukuti
 
Mim mwenyew nataka kuachia ngazi na nikiachana nae sioi tena maisha yangu yote hawa viumbe kuishi nae unahitaji kua na moyo waziada sio huu wanyama tuliopewa na Mmuumba
Hahaaa yaan imebidi nicheke tu mkuu, wakati ni mambo sirias
 
Mimi ni mwanamke ila km usemayo kweli muache asije kukuletea ngoma bure.
Huyo kashindikana na familia yake nao wajinga kutetea uovu wa mtoto wao!
Hilo ni kweli kabisa kuna familia zinasapoti ujinga Wa watoto wao bila kuangalia mazara anayoweza kupata Mtoto wao,mim nimepiga chini mke kisa kama hiki alafu ndugu wanasaport umalaya Wa ndugu yao .sijui kwnn dunia umekua hivi single mama Na single baba watatawala sana kizazi hiki.
 
Kwa style hiyo ya huyo mwanamke Mimi ningekuwa mbali nae mda mrefu sanaa
 
pole sana mkuu..duh..hapo naona tatizo ni moja kuu..
hakuna anayesali kati yenu wote...amini nakwambia piga goti tu ...
shetani kaingia, ni Maombi tu hapo , hakuna namna.
 
Tatizo lako ulioa 'ili msaidiane majukumu' yaani ulidhani mke atapunguza umasikini wako"
Unavunja ndoa kisa mke hatoi hela? Hebu fikiria upya assume ni mama wa nyumbani hudumia familia yako na mtoto uone hai ndugu wanaompa kichwa watafikia wapi.
 
Write your reply...nashangaa Wanawake waliosoma ujiyunaongezeka
 
Pole ndugu, ndoa ni gereza la hiari, ndio maana inaitwa "kufunga pingu" ukifungwa pingu unakuwa hauko huru, naona kama umechagua pingu isiyo zaiz yako
[emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwenye ndoa kila mtu na mziki wake, sauti yake na ala yake [emoji23] [emoji23] [emoji23] dunia simama nishuke mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…