Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Ukitaka kuacha mke kaa chini ufikirie.
Kuna.mwenzenu huku aligundua.rafika yake wa karibu anatembea na mke wake uamuzi aliochukua ni kumuacha.
Akamwambia rafiki yake mwingine amuandikie TALAKA TATU.kwa mkupuo.basi mwenzie akaandika wakapeleka kwa sheikh.
Sheikh akasema hii talaka kisheria imekamilika.
kumbe yule jamaa kabadilisha maamuzi hataki tena kumuacha mkewe sheikh akamwambia kisheria ya kiislam ukimuacha mkeo kwa talaka tatu inabidi mkeo aolewe kisha aachike ndo umuoe tena vinginevyo mtakuwa MNAZINI.
Acha jamaa awe mbogo.
Wewe sheikh muongo,wewe haujasomaaa,umesoma madrasa gani na maneno mengi ya kashfa .
Hapo sheikh anaonekana mbaya.
 
Mzee Baba kama mngekuwa mpo pamoja kwa nyumba moja mpka sasa ivi..ningekushauri inabid mtake a break a bit kuyatafakar yote yanayoendelea...but kutokana na uamuz aliouchukua mkeo wa kuondoka bila kuaga na kukosea heshima kiasi hicho we piga chini tu..ila kumbuken tu mtoto wenu hana makosa juu ya matatizo yenu so no matter what happen presence yenu kwake ni ya lazima na muhimu i mean care,love na kila kitu cha muhimu kwa mtoto kutoka kwa mzazi
 
Duh!
Mwanandoa ametoa mimba?aisee wanawake hawa mbona kazi tunayo?
 
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
Pole sana bro,kule kwetu haya huwa tunasema"bishanga bashaija" yawakutayo wanaume,
Ninayoyajua Leo ningeyajua miaka 5 iliyopita,nisingefunga ndoa kabisa.bora upate watoto na mdada lakini kwa asilimia Fulani muwe independent
 
Believe each word and event in both stories are true....unaweza mtu ukajiuliza why me?? But I never give up.....I'm strong enough to handle this situation....si shangai kuwa na doubt cause hata wanaomjua mke wangu hawaamini....mama mmoja nilimwita aje atusikilize......du yule mama hakuamini kwa namna alivyokuwa anamchukulia wife....a few days later akaniita nyumbani kwake " unamtihani MKUBWA kwa ndoa yako mungu akupiganie" mwisho wa kunukuu.
Eeh naona uzi wako mwingine hapa,is it?ndo maana nikasema hivo
 
Siku hizi tabia za kung'ang'ania matatizo kwa sababu nyepesi..zimeisha pitwa na muda..ndoa isiwe sababu ya wewe kuumia.unaweza kuachana naye na ukaanza upya na maisha yanaendelea kwa amani.chukua hatua lipi sahihi kwako.kuendelea na mkeo ama kuachana naye.na ukaanza upya.
 
Asee watu wengine mna moyo......

Pamoja na hayo yote bado upo tu........

Daah mm tangu Mdogo wake alipoanza kuniletea dharau ningemtimua, na yeye angekuja juu angefata.

Siwezi kukaa na Mateso na Wakati Wanawake wapo chungu nzima wamejaa wanahangaika kutafuta Wanaume kama ww.

Ushauri wangu achana nae angalia mambo mengine kwanza anakukwamisha ktk ishu zako za kimaendeleo.
 
Kusomesha ndugu kipindi hiki mtu unatakiwa ujipange haswa, usipoangalia mnaanguka wote. Kosa kubwa hapo ni kutokusikilizana na kuelewana. Mke akisema lake hapingwi, mume akitaka lake hapingwi so lazima kuwe na mtifuano.

Apart from her infidelity (which seems to be the main issue), mngekaa mkajadiliana. Ila tatizo ameshaanza kuachia nyama nje, its gonna be so difficult to mend your marriage.
Hakuna cha kujadiliana hapo mkuu mwanamke mwenyyewe anaonekana kisirani

Mi naona aachane nae tu

Hakuna maisha ya raha kama kuwa na amani ya roho mkuu
 
Siku akurudi jifanye ulimmiss kama una gari jioni mtoe out mle mnywe mnunulie na zawadi mkiwa mnarudi nyumbani tembea 100kph tafuta mti au nguzo ya umeme lengesha ubamize upande wake, usumbufu wote utaisha!
Hahah we jamaa Ni assassinator mzuri sanaa
 
Haya ndiyo madhara ya wanaume kupiga magoti wakati wa kuwavisha pete wake zao. Unapandwa kichwani since day one.

Wewe hapo hukuoa uliolewa, fukuza haraka sana uende kanisani ukajichagulie mtoto mbichi mkali sana atakayesuuza moyo wako.


Na mimi sielewi ujinga huu wa mwanamme kumpigia magoti mwanamke....why huu ujinga? Unabembeleza umuoe, tusipende kuiga kila ujinga kutoka nje jamani, vingine haviigiki kamwe.
 
Funga macho achana nae, hadi hapo umevumilia sana.. nidham kwa mwanamkwe ndo mpango mzima
 
Hahaha ulifanyaje mkuu?
Chukua nguo zako, na vitu vyako vya muhimu na kisha uhame nyumba ukaanze maisha mapya.
Kumbuka kwamba, hata ukiwaita ndugu waje kwenye kikao.... sana Ndugu zako watakua wanakuona boya kwa kushindwa kufanya maamuzi juu ya maisha yako. Na ndugu wa mkeo wanakuona bwege kwasababu hakuna wasicho kijua kwenye familia yako na hata hawara wa mkeo wanamjua.
Kama kweli hayo ulio yaandika ni yakweli, hauna haja ya kuweka kikao zaidi ya kufanya maamuzi na kisha uiache dunia itahukumu
 
Nakama unafanyiwa yote hayo na mtoto wako wa kiume wa miaka 5 yupo na anaona, aisee unamuharib kisaikolojia
 
Hakuna maamuz magum zaid ya kujiua
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
 
Back
Top Bottom