Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
Mateso unajitakia mwenyewe, na utateseka kweli ,hivi kweli mpaka saa saba unamfumania mke wako anaongea na mwanaume kama wewe na bado upo nae ,eti mpaka harudi tena huite na Ndugu ndiyo umuache du!!,hiyo mbona hitakuwa ngumu sema wewe unataka usuluhishi tu siyo kuachana,Ndugu yangu yani wewe utaendelea kugongewa tu mpaka ndani kwako,Fanya maamuzi yako binafsi ya kiume
 
Haya ndiyo madhara ya wanaume kupiga magoti wakati wa kuwavisha pete wake zao. Unapandwa kichwani since day one.

Wewe hapo hukuoa uliolewa, fukuza haraka sana uende kanisani ukajichagulie mtoto mbichi mkali sana atakayesuuza moyo wako.
Ahaa!!!,kweli kabisa
 
Haya ndiyo madhara ya wanaume kupiga magoti wakati wa kuwavisha pete wake zao. Unapandwa kichwani since day one.

Wewe hapo hukuoa uliolewa, fukuza haraka sana uende kanisani ukajichagulie mtoto mbichi mkali sana atakayesuuza moyo wako.
Hayo matabia wanayaiga wapi sijui.Mwanamke anajiona ana nguvuuuu,kama zote lazima akulambishe kisimi.
 
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
Pole Sana
 
Huo ni upuuzii yaani naamini asilimia 100% mimi nimezaliwa tofauti na wanaume wengine karibia wote na spiece yangu sijui kama bado ipo hapa sayari ya earth...

Kama Trump aliweza kuvunja mkataba wa Nuclear na Iran, sembuse huyo malaya ushindwe kumfekelea mbali big no...

Kama Magufuli aliweza kuvunja mkataba na ACACIA sembuse ushindwe kumwacha huyo mwanamke malaya?

Kama Uingereza wanaachana na umoja wa ulaya BRIEXT kwako imeshindikana nn kumfekelea mbali huyo mwanamke


Kwani huyo mwanamke ni mama yako?


Aaaaaaaaarrrrrrrgggggg........ Jamani mm nitavumilia mambo yote ila siyo huuu upimbi nafukuza walai kama hii kesi ingewezekana ukaniuzia yaaani nampiga mtu shoka la utozi
Shoka la utozi baba
 
Namkumbuka jamaa yangu huwa ananihusia sanaa.

"Mke mwema mke mwema mke mwema mke mwema mke mwema mke mwema".

"Muombe sana mungu akupe mke mwema ndugu yangu,akupe mke mwema mke mwema,ndugu yangu bado hujaoa lakini hakikisha unatulia sana katika kutafuta mke,muombe mungu akupe mke mwema."

"Ndugu yangu ukikosea kuoa utakuwa umeharibu mfumo wako wote wa maisha,na ukipatia utakuwa umeuset vizur mfumo wako wa maisha,ndugu yangu sifa ya kwanza ambayo ni kubwa kabisa ya mke mwema ni kuwa mtiifu kwa mumewe,akiwa anakutii na anakuheshimu mambo mengine mtavumiliana tu"

"Ndugu mke ni mtu ambaye ataenda kukulea watoto wako,na asilimia kubwa ya tabia za watoto wanakopi kutoka kwa wazee,haswa mama ndo mda mwingi huwa yupo na watoto nyumbani."

"kama mama akiwa mpenda viduku,na watoto watakuwa kividuku viduku,mama akiwa mpenda singeli,na watoto watakuwa kisingeli singeli,kama mama atakuwa kiburi na jeuri kwa watu,na watoto watakuwa kijeuri jeuri,kama mama atakuwa an khofu na mungu,watoto atawalea kiimani imani,kama mama atakua mwema,na watoto watalelewa kiwema wema na huruma huruma."

Pole sana kaka,yapo mambo ya kuvumilika katika ndoa lakini siyo kwa point hiyo mlofikia,alafu katoto ni kamoja tu,bado hamjawa na familia kubwa,unaweza fanya maamuzi magumu,hivyo hata ukiwaambia ndugu zako nyumbani hawawezi kuvumilia kuona nduguyao unaumizwa kiasi hicho.

Huwa namuomba sana mungu anipe mke mwema,manake mke mwema huwa anatoka kwake tu.
 
Mimi ni mwanamke ila km usemayo kweli muache asije kukuletea ngoma bure.
Huyo kashindikana na familia yake nao wajinga kutetea uovu wa mtoto wao!
Ndio watu wa Mbeya walivyo, ukijitia kulalamika ukoo mzima unakugeukia halafu matoto yao ndio huwa viburi wa kutupa! Kuna limoja limeachika Toronto mapema mwaka huu. Mchizi amerudi bongo kuoa upya kamuachia yule mpuuzi watoto wawili.
 
Wanaoharibu ndoa yako ni ndugu wa mke,pia mke wako hajakomaa kiakili zaidi ya kuwa na umbo la kiutu uzima;maamuzi piga chini,pambana na mtoto wako.
 
Hawa wanashida moja kubwa inawasumbua, ambayo ni ubinafsi, ukiwa na ubinafsi huwezi kuisho na kudumu kwenye mahusiano yoyote yale....
Haya mambo ya ndoa haya kila mtu anaugulia kivyake

Mkuu usikurupuke kwanza kumuacha mkeo ebu kaeni chini kwanza mmalize tofauti zenu

Tatizo kwenye ndoa yenu kila mmoja yupo juu hilo ndio tatizo kubwa mwanamke ana sauti kumzidi baba
 
Haya ndiyo madhara ya wanaume kupiga magoti wakati wa kuwavisha pete wake zao. Unapandwa kichwani since day one.

Wewe hapo hukuoa uliolewa, fukuza haraka sana uende kanisani ukajichagulie mtoto mbichi mkali sana atakayesuuza moyo wako.
Mkuu hapo kwenye kupiga magoti nakuunga mkono. Mwanaume unapiga magoti kumvisha Pete ya uchumba!
 
Muda wote kwanini msikae na wakubwa mkaongea....?
Kwanza ijulikane kuwa si muumini wa vikao vya kukusanya watu kwenye ndoa yangu...lakini hata hivyo nilijaribu kuita wawili watatu kujadili alikili na kuomba radhi...tatizo linakuja akitoka kwenye kikao akawasimulia ndugu zake anapata semina mpya na kurudi kule kule hapo naona tunapotezeana muda!
 
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
Hawa viumbe Ni balaaa
 
Back
Top Bottom