Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,081
- 2,325
Hapana. Ukiwatengea na madeume miezi 2. Halafu ukaingiza madume. Watazaa wote mwezi mmoja. Siku ndio watatofautiana.bahati mbaya huwa hawapati joto wakati mmoja kila mmoja kivyake , bora uwaachie madume tu halafu knye kuuza uwasubirishe uwauze kwa pamoja