Congo JF-Expert Member Joined Mar 13, 2008 Posts 2,081 Reaction score 2,325 May 18, 2023 #21 ndoto2020 said: bahati mbaya huwa hawapati joto wakati mmoja kila mmoja kivyake , bora uwaachie madume tu halafu knye kuuza uwasubirishe uwauze kwa pamoja Click to expand... Hapana. Ukiwatengea na madeume miezi 2. Halafu ukaingiza madume. Watazaa wote mwezi mmoja. Siku ndio watatofautiana.
ndoto2020 said: bahati mbaya huwa hawapati joto wakati mmoja kila mmoja kivyake , bora uwaachie madume tu halafu knye kuuza uwasubirishe uwauze kwa pamoja Click to expand... Hapana. Ukiwatengea na madeume miezi 2. Halafu ukaingiza madume. Watazaa wote mwezi mmoja. Siku ndio watatofautiana.
N ndoto2020 JF-Expert Member Joined Feb 25, 2017 Posts 267 Reaction score 373 May 19, 2023 #22 Congo said: Hapana. Ukiwatengea na madeume miezi 2. Halafu ukaingiza madume. Watazaa wote mwezi mmoja. Siku ndio watatofautiana. Click to expand... shukran kwa elimu nilikuwa sifahamu
Congo said: Hapana. Ukiwatengea na madeume miezi 2. Halafu ukaingiza madume. Watazaa wote mwezi mmoja. Siku ndio watatofautiana. Click to expand... shukran kwa elimu nilikuwa sifahamu
K Kigi Makasi JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 1,259 Reaction score 2,483 Jul 15, 2023 #23 MURUSI said: Kama mau? Hivi hizi idea huwa tunaziwaza tukiwa Pub? Kondoo Madume wanaongezekaje? Click to expand... kwanza ni unyanyasaji wa wanyama, wateseke kwa nyeg*e
MURUSI said: Kama mau? Hivi hizi idea huwa tunaziwaza tukiwa Pub? Kondoo Madume wanaongezekaje? Click to expand... kwanza ni unyanyasaji wa wanyama, wateseke kwa nyeg*e