Nataka nifuge kondoo dume na mbuzi mkoa wa Tanga

bahati mbaya huwa hawapati joto wakati mmoja kila mmoja kivyake , bora uwaachie madume tu halafu knye kuuza uwasubirishe uwauze kwa pamoja
Hapana. Ukiwatengea na madeume miezi 2. Halafu ukaingiza madume. Watazaa wote mwezi mmoja. Siku ndio watatofautiana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…