Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kitu ftee installationHiyo 69,000 ni kila kitu hakuna hidden fees?
Nauliza kwanza kwa wajuziFunga then ulete mrejesho..
Speed tayari umeambiwa ni 10mbps, fiber unapewa Dedicated speed. Na ukiwa mlipaji mzuri kabla kifurushi hakija Expire wanakupa double speed 20mbps.Habari wadau
Zuku wamekuja ofisin leo wametuambia tulipie 69000 ili watuunge na fiber ya 10MB/S vp speedd yao nzur au utopolo
Nasubiri ushauri wenu wadau
But according to my university notes, ETHERNET cable has got a maximum speed of 100mbps.Speed tayari umeambiwa ni 10mbps, fiber unapewa Dedicated speed. Na ukiwa mlipaji mzuri kabla kifurushi hakija Expire wanakupa double speed 20mbps.
Ukitaka kipo kifurushi cha 100mbps pia, fiber zinaenda 10GBps hapa kwetu ama zaidi.But according to my university notes, ETHERNET cable has got a maximum speed of 100mbps.
Now how comes fiber (advanced technology) provides only 10mbps
Hivi fiber ndo kusema bado hawajaweza kuwa na mitambo ya ku supply pembezoni mwa jiji ukiachana na city center hapo?Ukitaka kipo kifurushi cha 100mbps pia, fiber zinaenda 10GBps hapa kwetu ama zaidi.
Sababu fiber ni unlimited wanapima kwa speed vifurushi.
-cha 10mbps ni 69,000
-cha 50mbps ni around laki 1 na something
-cha 100mbps ni around laki 2 na something etc
Kama unataka Hizo GBPS unawasiliana na TTCL wanatoa hizo huduma.
Wateja, Kariakoo yenyewe watu wanachanga ili kuafford, maduka kadhaa yananunua package moja mtu analipa 10k ama 20k ndio maana wanaweza pata faida.Hivi fiber ndo kusema bado hawajaweza kuwa na mitambo ya ku supply pembezoni mwa jiji ukiachana na city center hapo?
Kikwazo ni nini haswa?
Sasa mbona kama ni hivyo sioni ugumu wa wao kutoleta huduma mitaani, maana kwa hali ambayo tumefikia saizi ya GB1 2500 simuoni mtu ambaye hayuko tayari kuchangia 10k kwa mwezi alafu anapewa unlimitedWateja, Kariakoo yenyewe watu wanachanga ili kuafford, maduka kadhaa yananunua package moja mtu analipa 10k ama 20k ndio maana wanaweza pata faida.
Ukipeleka mtaani huko mtaa mzima unaweza pata wateja wawili ama watatu, ngumu ku cover cost.
Hapo ndio TTCL na Serikali inabidi waplay part yao, Nchi nyingi zilizoendelea kampuni zinazosupply internet vijijini ama mahala kwenye watu wachache hupewa ruzuku.
Biashara zina mambo mengi mkuu, je wakileta hizo huduma halafy vifurushi vikashuka?Sasa mbona kama ni hivyo sioni ugumu wa wao kutoleta huduma mitaani, maana kwa hali ambayo tumefikia saizi ya GB1 2500 simuoni mtu ambaye hayuko tayari kuchangia 10k kwa mwezi alafu anapewa unlimited
Wakisogeza huduma, mitandao ya simu itashtukia tu biashara yao imepungua wateja
Nadhani hizi bei ni kwa shared. Dedicated for that price??? I doubtUkitaka kipo kifurushi cha 100mbps pia, fiber zinaenda 10GBps hapa kwetu ama zaidi.
Sababu fiber ni unlimited wanapima kwa speed vifurushi.
-cha 10mbps ni 69,000
-cha 50mbps ni around laki 1 na something
-cha 100mbps ni around laki 2 na something etc
Kama unataka Hizo GBPS unawasiliana na TTCL wanatoa hizo huduma.
Hakuna mtu ambaye ametumia fiber anayeweza kuvumulia speed ya mitandao ya simu, mtu utoke kwenye unlimited halafu uje kwenye vifurushi vya kupimiwa ambavyo haviko costant vinapanda kama dollarBiashara zina mambo mengi mkuu, je wakileta hizo huduma halafy vifurushi vikashuka?
Si ndio ya 69k?But according to my university notes, ETHERNET cable has got a maximum speed of 100mbps.
Now how comes fiber (advanced technology) provides only 10mbps