Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Arusha ule mji upo stagnant sana.Kuna wana wako Arusha wanafanya hio michezo sahii wanakula vichwa tu mdogo mdogo
Sio pa kupelekea investments kubwa sana.
Labda mambo ya utalii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha ule mji upo stagnant sana.Kuna wana wako Arusha wanafanya hio michezo sahii wanakula vichwa tu mdogo mdogo
Unaifaham huduma ya microwave?
Yaani mfano mteja nipo remote street, tuseme Kimara Suka. Ambako Zuku fiber hawajafika.
Wananifungia microwave dish (dedicated link) kutoka kwenye ACCESS POINT yao hadi kwangu. Hujawahi isikia?
Yeah una watu wake lakini, shida ya kaskazini biashara ni za kujuanaArusha ule mji upo stagnant sana.
Sio pa kupelekea investments kubwa sana.
Labda mambo ya utalii.
Nipe location yao hapa posta wapo wapi ao wanga
We umeongelea Zuku,Installation ni million 1 na laki 4 ndio shida TTCL
Liquid huduma kwa mteja ni mbovu, there is a reason kwanini kila mtu ana Zuku Hapa Mjini.10MBps mbona spidi ndogo...kwa pesa unayolipa...
Jaribu kucheck na ISP's wengine kama Liquid ambao kwa pesa hiyo unapata 20MBps kwa bei hiyo hiyo
Liquid huduma kwa mteja ni mbovu, there is a reason kwanini kila mtu ana Zuku Hapa Mjini.
ukiongeza mpunga ukalipa laki na 50 unapewa full speedBut according to my university notes, ETHERNET cable has got a maximum speed of 100mbps.
Now how comes fiber (advanced technology) provides only 10mbps
Contacts za watoa huduma bongo huwa ni formality tu! Utapiga simu mpaka upandwe na wazimu😅😅😅 yani kama unaipigia maiti simuMimi huwa naona huu ni ugonjwa wa sehemu nyingi bongo...
Mfano last week nilikuwa nataka kupata huduma ya afya kwa appointment hospitali binafsi, jamaa wameweka namba zao za whatsapp, namba ya mezani n.k...ukipiga simu inaita haipokelewi, whatsapp ujumbe unafika lakini hakuna replies...
ulienda chuo kulala/kukariri notes we mzeeBut according to my university notes, ETHERNET cable has got a maximum speed of 100mbps.
Now how comes fiber (advanced technology) provides only 10mbps
kama unayo Routers yako mwenyewe iliyokidhi vigezo vyao kwann isiwezekaneISP mwenye speed ya 10MBps hawezi kukupa free installation au kwa bei hiyo wanayokwambia, labda wamekwambia 10Mbps mabayo ni sawa na 1.25MBps
Mkuu Fiber inaChimbiwa Chini kama dawasco, imagine tu kutoa Mfereji Mjini mpaka mwananyamala, gharama kiasi gani? Bado waya za Fiber, Nguzo, manpower, Router na mambo mengine kibao. Sina Cost za kibongo bongo sababu hawapo wazi ila kwa nchi za Wenzetu inaweza fika Hadi milioni 200 kwa KM, ila sababu huko ulaya manpower ni gharama sana assume huku haitafika hivyo, ila still ni hela Kubwa, kwa Cost ya 70,000 kwa mwezi unaweza pata watu angalau 1000 mwananyamala?Kutokana na trend vifurushi sio rahisi kushuka.
Na hivi vifurushi vya kununua kidogokidogo kinarudisha nyuma mambo mengi.
Wifi ilitakiwa iwepo kwenye mabar, restaurants, night clubs, wedding halls, petrol stations, accademic institutions, public spaces, makanisa na misikiti. Kuna ofisi ndogo hazipo mjini kati na zinahitaji reliable and cheap internet. Na kuna watu wanafanyia kazi nyumbani, internet ilitakiwa iwepo 24/7. Kuna smart devices siku hizi zinahitaji internet all the time kama tv, friji.
Hizi internet za kununua kwa kudunduliza, ni hasara kwakweli.
Yani internet haitakiwi kuonekana ni kitu luxury.
Hao raha (Liquid) tuliwabembeleza wee waje wafunge Fiber kipindi hicho Zuku bado hajakuja kkoo wanaringa kweli, Zuku alivyokuja hata uwapigie simu saa 9 mchana wanakuja kufunga siku hio hio tena Bure. Baada ya Miezi 3 eti Raha ndo wanakuja, Advantage ya Raha ni 10,000 over zuku na sijui kama bado wana installation fee.Mimi huwa naona huu ni ugonjwa wa sehemu nyingi bongo...
Mfano last week nilikuwa nataka kupata huduma ya afya kwa appointment hospitali binafsi, jamaa wameweka namba zao za whatsapp, namba ya mezani n.k...ukipiga simu inaita haipokelewi, whatsapp ujumbe unafika lakini hakuna replies...
Sasa hiyo ni sehemu nyeti yenye reputation kubwa kabisa...
Pengine kwa huko baadae zikawa shared ila kwa sasa unapata hio speed mpaka double speed hio ukiwa mlipaji mzuri, nina zaidi ya mwaka napata 20mbps kwa bei ya 69000Nadhani hizi bei ni kwa shared. Dedicated for that price??? I doubt
Mkuu hapo unajiongelea wewe, kuna Watu internet ni Insta, FB na whatsapp kamaliza toka anunue simu hata ile browser hajawahi kuifungua.Hakuna mtu ambaye ametumia fiber anayeweza kuvumulia speed ya mitandao ya simu, mtu utoke kwenye unlimited halafu uje kwenye vifurushi vya kupimiwa ambavyo haviko costant vinapanda kama dollar
kwa hiyo kama ni fibre hii huduma itakuwa inapatikana katikati ya mji tuSpeed tayari umeambiwa ni 10mbps, fiber unapewa Dedicated speed. Na ukiwa mlipaji mzuri kabla kifurushi hakija Expire wanakupa double speed 20mbps.
Kkoo zilitumika sana kabla ya ujio wa Fiber, ila nazo zinahitaji Access point iwe karibu na Kimara sidhani kama unaweza idirect toka kkoo hadi Kimara.Unaifaham huduma ya microwave?
Yaani mfano mteja nipo remote street, tuseme Kimara Suka. Ambako Zuku fiber hawajafika.
Wananifungia microwave dish (dedicated link) kutoka kwenye ACCESS POINT yao hadi kwangu. Hujawahi isikia?
Daah kama process iko hivyo basi siwalaumuMkuu Fiber inaChimbiwa Chini kama dawasco, imagine tu kutoa Mfereji Mjini mpaka mwananyamala, gharama kiasi gani? Bado waya za Fiber, Nguzo, manpower, Router na mambo mengine kibao. Sina Cost za kibongo bongo sababu hawapo wazi ila kwa nchi za Wenzetu inaweza fika Hadi milioni 200 kwa KM, ila sababu huko ulaya manpower ni gharama sana assume huku haitafika hivyo, ila still ni hela Kubwa, kwa Cost ya 70,000 kwa mwezi unaweza pata watu angalau 1000 mwananyamala?
Ila kwa serikali Hio ni Hela Ndogo TTCL wanaweza Fikisha Fiber hadi hayo Maeneo na kampuni Binafsi zikawa zinasupply tu Mtaani.
Wana expand mkuu ila kwa speed isiyoridhisha, walianza mjini, masaki penisula ile baadae mpaka kinondoni ya Morocco na Kariakoo, Nasikia Ilala pia wameanza Kufika.kwa hiyo kama ni fibre hii huduma itakuwa inapatikana katikati ya mji tu