Seawhale
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,477
- 1,668
Wazo zuri, ila unavutaje kwenye jengo lisilo lako?.Je, wewe umevuta? Unawalaumu wengine tu. Anza wewe uwe mfano, kisha washawishi wengine. Lead by example!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazo zuri, ila unavutaje kwenye jengo lisilo lako?.Je, wewe umevuta? Unawalaumu wengine tu. Anza wewe uwe mfano, kisha washawishi wengine. Lead by example!
5mbps ni nzuri? Fibre.Hio ni kwa sekunde, ina maana dakika una mb 600 na dakika na sekunde 40 umemaliza kudownload 1GB. Ni speed nzuri.
Inategemea na matumizi.5mbps ni nzuri? Fibre.
Maswali yajibiwe hapahapa kwa faida ya jf.Karibuni sana niwahudumie .. nipo zuku fiber pia muhimu uwe kariakoo,city center,msasani,mikocheni,masaki,oysterbay,upanga.na kinondoni ada estate... katibu sana kama una swali njoo pm..
mkuu ulotoa post karibu nkuhudumie hutajutia is the best
Maeneo ganiKuna wana wako Arusha wanafanya hio michezo sahii wanakula vichwa tu mdogo mdogo
Mie niko Manzese nataka hizo mambo homeKaribuni sana niwahudumie .. nipo zuku fiber pia muhimu uwe kariakoo,city center,msasani,mikocheni,masaki,oysterbay,upanga.na kinondoni ada estate... katibu sana kama una swali njoo pm..
mkuu ulotoa post karibu nkuhudumie hutajutia is the best
manzeae ni nje ya coverage mkuuMie niko Manzese nataka hizo mambo home
Mna plan ya kuja Dom lini??Karibuni sana niwahudumie .. nipo zuku fiber pia muhimu uwe kariakoo,city center,msasani,mikocheni,masaki,oysterbay,upanga.na kinondoni ada estate... katibu sana kama una swali njoo pm..
mkuu ulotoa post karibu nkuhudumie hutajutia is the best
Mbezi beach mpo?manzeae ni nje ya coverage mkuu
Kwanini hii ya wireless msituwekee wa dsm ambao tupo nnje ya coverageMbezi beach inakuja..na kwa wa nje ya dar basi kama unaweza ku afford 150,000 kwa mwezi unlimited internet 10mbps ..nicheki.. ni wireless hiyo
ila sio kampuni ya zuku.. contact me kwa uhitaji dm.. ni 150k /month ,unlimited internet,10mbpsKwanini hii ya wireless msituwekee wa dsm ambao tupo nnje ya coverage
Inaitwaje mzeeIpo Startup company ya Singapore ina provide wireless fiber in the Sky. Speed inaanzia 1Gbps na Installation yake ni ndani ya 1-4 hours. Hii kampuni ikija Tanzania itaweza fikia watu wengi sana.
TranscelestialInaitwaje mzee
You said it all! ☑️Kutokana na trend vifurushi sio rahisi kushuka.
Na hivi vifurushi vya kununua kidogokidogo kinarudisha nyuma mambo mengi.
Wifi ilitakiwa iwepo kwenye mabar, restaurants, night clubs, wedding halls, petrol stations, accademic institutions, public spaces, makanisa na misikiti. Kuna ofisi ndogo hazipo mjini kati na zinahitaji reliable and cheap internet. Na kuna watu wanafanyia kazi nyumbani, internet ilitakiwa iwepo 24/7. Kuna smart devices siku hizi zinahitaji internet all the time kama tv, friji.
Hizi internet za kununua kwa kudunduliza, ni hasara kwakweli.
Yani internet haitakiwi kuonekana ni kitu luxury.
Njoo inbox,Mbezi beach inakuja..na kwa wa nje ya dar basi kama unaweza ku afford 150,000 kwa mwezi unlimited internet 10mbps ..nicheki.. ni wireless hiyo
Kwa mikoani vipi?hii huduma yapatikana hasa arusha?yes ipo
ila sio kampuni ya zuku.. contact me kwa uhitaji dm.. ni 150k /month ,unlimited internet,10mbps