Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Natumia hii kituUkitaka kipo kifurushi cha 100mbps pia, fiber zinaenda 10GBps hapa kwetu ama zaidi.
Sababu fiber ni unlimited wanapima kwa speed vifurushi.
-cha 10mbps ni 69,000
-cha 50mbps ni around laki 1 na something
-cha 100mbps ni around laki 2 na something etc
Kama unataka Hizo GBPS unawasiliana na TTCL wanatoa hizo huduma.
The best I have ever have