Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
- Thread starter
- #21
Mwenzio ana Mil 2 ziko tu bank zimekaa, akichukuwa Mil 10 akaweka UTT akawa anapata 3k Kila siku Kuna hasara...?Million 7 kwa 2k kwangu hapana
Kwahyo hapa unapata jibu kuwa uwekezaji huu hautaki pesa za mawazo.