Nataka niishtaki bank kwa kutoa pesa zangu zote (dola 50,000) tokea mwaka 2017 bila idhini yangu na nimechukua bank statement

Nataka niishtaki bank kwa kutoa pesa zangu zote (dola 50,000) tokea mwaka 2017 bila idhini yangu na nimechukua bank statement

Mkuu ungesubiri kwanza Hukumu ili uone itakuwaje maana mpaka sasa una kesi mahakamani Kuhusu hiyo Acc so obvious hata hela zingonekana zipo Usingeweza fanya chochote.

Kama Bank haijakushtaki bhasi tafuta mwanasheria mzuri hao jamaa utawapigaa za uso mchana kweupe na pia pesa yako itarudi tu boss.

Pole sana kaka siku hizi hii nchi ukiingiza pesaa tu toka nje wanahisi ni wakala wa mabeberu so ukute wamekufanyia hivyo wakisngizia unatakatisha pesa kuwa unalipwa hela kama Kwa ajili ya Lodge kumbe sio kwelii...pole sana mkuu ila utashindaa
 
Sijui kama jamaa atakua tofauti lakini hii michezo wanaijeria wameifanya sana. Walikua wanawatumia watu bila kujua, wanakushawishi ukafungue account uombe na POS machine, baada ya muda pesa zinaingia tu kwa account.

Na wakishaona mchezo umeshtukiwa au unataka kwenda mrama, wanapotea na kutawanyika, unaachiwa balaa peke yako.
Zinakuwa zinaingia tu bila kuingizwa?
 
Yani umepoteza $50,000 2017 umetulie leo 2020 na huwezi kulipa legal fee ya lawyer unakuja kuomba huku jamii forum?

Maajabu ya Dunia haya, wawezaje Kuwa na uwezo huo na usiwe na legal advice ya 2m per year? Huu si wetu?
Nimejiuliza kama wewe mkuu na nimekosa jibu. Pia mtu ukikaa ndani kuna watu wengi tu wa kukushauri mambo ya sheria na pia mpk hapo alipofikia kwenye kesi yake ya awali hakuwa hata na wakili? Je familia yake imeshindwa kumwekea mwanasheria mpk aje kuuliza leo miaka mitatu imepita? JF amejiunga toka Jan 2020 so alitoka mahabusu lini mpk ashindwe kuwaona wanasheria na kuwaelezea hiyo kesi yake.

Nachohisi ni kwamba kuna uhalifu alifanya huyu jamaa na pesa yake imetaifishwa. Haiwezekani toka 2017 mpk leo ndio unakuja kuomba ushauri. Anasema anataka kuonana na MD ili iweje? Kesi iko mahakamani na MD anahusika nini hapa? Pia anasema amefungulia kesi na wafanyakazi wa benki na sio benki yenyewe, hapa imeakaaje na hao staff waliomfungulia mashitaka wanahusika nini na hizo hela?

Kuna vitu vinafichwa hapa mtu mwenye akili hawezi kuelewa labda uchukulie mambo juu juu ila ukisoma between line mtoa mada anaficha information muhimu ili apate huruma yetu
 
Unaongea usichokijua? Unacheza na hii awamu kuna ndugu yangu alipewa kesi ya uhujumu uchumi kwa milioni moja
Bora Mil mkuu...Hata 70K unapewaa kesiii tuu upambanee nayooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimejiuliza kama wewe mkuu na nimekosa jibu. Pia mtu ukikaa ndani kuna watu wengi tu wa kukushauri mambo ya sheria na pia mpk hapo alipofikia kwenye kesi yake ya awali hakuwa hata na wakili? Je familia yake imeshindwa kumwekea mwanasheria mpk aje kuuliza leo miaka mitatu imepita? JF amejiunga toka Jan 2020 so alitoka mahabusu lini mpk ashindwe kuwaona wanasheria na kuwaelezea hiyo kesi yake...
Pia kupiga mil 100 kwa biashara ya Lodge tu ndani ya muda mfupi sio simple... Hapa kuna miamala majamaa waliona hii sio biashara ya lodge tena..
 
Pia kupiga mil 100 kwa biashara ya Lodge tu ndani ya muda mfupi sio simple... Hapa kuna miamala majamaa waliona hii sio biashara ya lodge tena..
Anatupanga mtoa mada. Na hiyo kesi anaweza hasichomoke kama hakuweka mwanasheria wa kumtetea
 
Nataka niishtaki bank imetoa pesa zangu zote (dola 50,000) tokea mwaka 2017 bila idhini yangu na nimechukua bank statement kweli inaonesha pesa ilitolewa toka 2017, vipi hapo kwa wataalamu wa sheria hii case imekaaje kwenye masuala ya kunilipa na je kutakuwa na compersation yoyote kutokana na usumbufu nilioupata kipindi hiki chote toka wanichukulie pesa zangu?
Wewe ni mtakatishaji fedha
 
Yani umepoteza $50,000 2017 umetulie leo 2020 na huwezi kulipa legal fee ya lawyer unakuja kuomba huku jamii forum?

Maajabu ya Dunia haya, wawezaje Kuwa na uwezo huo na usiwe na legal advice ya 2m per year? Huu si wetu?
Huu so muda wa kumsakama, atakuwa amejifunza tayari.
 
Wewe ni mtakatishaji fedha

Hebu fafanua, uwezekano wa yeye kuwa matakatishaji fedha umekaa vipi hapo?
Tupeane elimu, jela sio kuzuri, kuna mwamba aliingia kibonge katoka na kilo 33.
 
Nimejiuliza kama wewe mkuu na nimekosa jibu. Pia mtu ukikaa ndani kuna watu wengi tu wa kukushauri mambo ya sheria na pia mpk hapo alipofikia kwenye kesi yake ya awali hakuwa hata na wakili? Je familia yake imeshindwa kumwekea mwanasheria mpk aje kuuliza leo miaka mitatu imepita? JF amejiunga toka Jan 2020 so alitoka mahabusu lini mpk ashindwe kuwaona wanasheria na kuwaelezea hiyo kesi yake...

Hapo nimeelewa
 
Namiliki lodge yakulaza wageni kisiwan znz, so nikajiingiza kwenye system ya booking.com ili niweze kurahisishia wageni kutoka angle zote za dunia kufanya booking kwa urahisi sana, nikafungua bank acc na wakanipa ile POS machine na wateja wakawa wanafanya booking from all over the world, ikawa ndani ya muda mchache nimepiga pesa nzuri maisha yakawa safi, sasa baadhi ya wafanyakazi wa bank sio waaminifu walipoona pesa ni nyingi, wakazuia account yangu..

$50,000 au kitu bank kuzia account, wewe utakuwa umefanya dill za credit card za watu unelipwa ikawa mgogoro
 
Mbona kuna watu wana fedha nyingi benki kuliko hizo zako ila hazijazuiwa?

Ila pole sana mkuu kwa unayoyapitia,haya yote yatapita tu na maisha yataendelea mbele,
Good luck Jomba.
 
Mbona kuna watu wana fedha nyingi benki kuliko hizo zako ila hazijazuiwa?

Ila pole sana mkuu kwa unayoyapitia,haya yote yatapita tu na maisha yataendelea mbele,
Good luck Jomba.
swali lako la kitoto kweli, acha nikuache
 
Back
Top Bottom