Nataka niishtaki bank kwa kutoa pesa zangu zote (dola 50,000) tokea mwaka 2017 bila idhini yangu na nimechukua bank statement

Nataka niishtaki bank kwa kutoa pesa zangu zote (dola 50,000) tokea mwaka 2017 bila idhini yangu na nimechukua bank statement

Hiyo Bank waliona hiyo A/c ipo domant wakajizolea pesa washitaki.
 
Hio ni.Money Laundry au

Anyway ushauri ushauri mkuu zaidi ni kwako mnamo 28 Octb[emoji2211]
 
Hapana mzee nilikuwa ndani gerezani nimetoka hivi karibuni...story hii ni ndefu mkuu
Kama ulikuwandani na wafanyakazi wakajua ulikuwa ndani, basi waliipiga wafanyakazi wasiokuwa waaminifu ni michezo yao na nakwambiakitu ambacho nina uhakika nacho.
 
mkuu watakulipa pesa nyingi hao kenge..!! wana enjoy hela za watu tu!! Mkuu simama imara uwapige mpunga
 
Poa Mkuu, Ila nimekuelewa acha nimtafute mwanasheria nimuelezee scenario nzima
mkuu mimi nina wanasheria wangu Professional wanasimamia kesi zangu!! Ukihitaji sema nikukonect nao na Hutojutia kuonana nao!! U will thank me later
 
Namiliki lodge yakulaza wageni kisiwan znz, so nikajiingiza kwenye system ya booking.com ili niweze kurahisishia wageni kutoka angle zote za dunia kufanya booking kwa urahisi sana, nikafungua bank acc na wakanipa ile POS machine na wateja wakawa wanafanya booking from all over the world, ikawa ndani ya muda mchache nimepiga pesa nzuri maisha yakawa safi, sasa baadhi ya wafanyakazi wa bank sio waaminifu walipoona pesa ni nyingi, wakazuia account yangu...

Nilipo kuwa hapa dsm bila kujua nilienda kutoa pesa ikawa nashindwa pata huduma ikanibidi niingie ndani pale HQ ya bank kuulizia mbona siwezi kutoa pesa na acc yangu inapesa...nimekaa naeleza tatizo langu...mara ikapigwa simu wakaja baadhi ya wafanya kazi wa pale pale bank ambao mm nawajua coz hiko kimachine ninachotumia ndio walinikabidh wao, wakaniambia niingie ndani, nikaingia wakaniuliza kwann unaiibia bank...nikawaambia mbona sijafanya wizi wowote ule na kama pesa booking zote c munaziona, so nani nimemuibia after that wakavuta simu kinyemela kuwatwangia polisi wakaja kunibeba kutokea pale bank bila maaelezo hadi msinbazi, pale napo nikaambiwa nimewaibia bank...

Nikawaeleza kama nilivyowaeleza hapo awali watu wa bank...sasa nilichokuja kugundua wale wafanya kazi walikula njama na polisi, wahakikishe sichomoki na niende jela baada ya hapo watoe pesa wagawane, wakafanikiwa kwa asilimia chache sana coz sikufungwa ila nilikaa bahabusu kwa muda wote huo nikawa natokea gerezani kwenda kusikiliza kesi yangu mahakamani nikapambana nipate zamana nitoke gerezani kwa muda wote huo nikapata dhamana sasa hivi natokea home kwenda kusikiliza kesi yangu, na ushahidi kwa upande wao wameshatoa kama nimewaibia ila ushahidi wenyewe haujitoshelezi wameshindwa kumleta mtu yoyote yule aliyeibiwa na mm, na mimi kwa upande wangu nimeshajitetea tayari so next month naenda kusikiliza hukumu itakuwaje, ila chakushangaza pesa zilizopo kwenye acc walikwara zote kwakuhisi sitoweza toka tena...

Ila chakushangaza kwann case kama nimeiibia bank case wafungue wafanyakazi wa kawaida na sio mwanasheria wa bank, na bank kama bank haijui kama kuna case inaendelea mahakamani kuhusu kuibiwa kwa pesa...Hivyo sasa nilikuwa nasubilia case hii yao iishe ndio nifungue yangu but naona imechukua muda mwingi sana haijaisha hadi hivi sasa....nikapata wazo niishtaki bank moja kwa moja kwa nn imetoa pesa zangu bila ya ridhaa yangu....sasa ndio najiuliza hapa na nataka kusikia kutoka kwenu hii issue imekaaje hapa...

NOTE: Bank haina taarifa kama inacase na mimi zaidi ya wale wale wafanya kazi na nimejitahidi kuonana na MD wao wale jamaaa wanafanya kila aina ya nia nisionane nae na wamefanikiwa kwenye hilo coz kila nikienda nionane na MD wananizuia wanataka niwaeleze wao kwanza nini shida wakishindwa ndio iende kwa MD...natumai umenielewa coz mimi kwenye kueleza majambo najihisi sio mfasaha sana
Pole sasa hiyo ishu unashughulika mwenyewe ? Kwann usitumie watu wakubwa au wa kawaida wakusaidie? Ni bank gani kwanza hiyo nikatoe hela zangu huko
 
nikuweke sawa haya mambo yapo na sio kwa POS tu hata kwa ATM watu waweza fanya, ila sio mchezo safi ukikamatwa umeisha....na wale inaonekana wameshawafanyia watu wengi then wakawakamata na kuwaweka ndani huku nje pesa wanagawana kwakuwa wanajua hauwezi toka na hata ukitoka hauwezi enda pale bank kuidai coz utaogopa msala...sasa jwa upande wangu sikufanya hivyo na ndio mana hadi sasa kuna baadhi ya wafanya kazi wameacha kazi pale bank kwakuhofia ikifika case yangu bank wao ndio wataenda ndani
mkuu wewe shitaki benki..hao wafanyakazi watatafutwa popote pale walipo
 
Ah ah wabongo mnajua Sana kudanganyana...ni hivi we jamaa kwa muda mfupi ulikua na wageni kutoka nchi gani kuweza kusanya dola 50 elfu kwe lodge??ulivyoweka sahihi kwe form ya kupewa machine hukuelekezwa kitu kinaitwa fraud activity...we ni fraudster umeiba kadi za watu nje ya nchi na ukatumia mfumo was CNP kuchukua Ela zao...(michezo ya wanaigetia?) Sasa wahanga wamelalamika na hela zimerudishwa kwao..usipende Ela ya harakaharaka hilo kosa linamahusiano na uhujumu uchumi ukifanya mchezo utapotea.....nyie ndo mnaichafua nchi
 
kw
Pia kupiga mil 100 kwa biashara ya Lodge tu ndani ya muda mfupi sio simple... Hapa kuna miamala majamaa waliona hii sio biashara ya lodge tena..
Zanzibar unapiga kule wanaanziaga dola 100 per night atakosa kuingiza dola 50,000+++

sema hapo haziwezi kuwa ni top profit running costs alikuwa anatolea wapi!?
 
Back
Top Bottom