Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Huko ndio wanakoifuata ndumba?Haaahaa unajidanganya.. Kama unaweza uzidi wa kano Nigeria na milima ya himalayas sawa
Mchawi ni mkubwa kuliko mwangaMkuu kumbuka kuwa hawa wezi wa ccm sio kwamba nao ni wachawi pia hapana bali pia ni wanga!
CCM haiwakumbatii ila ni mshiriki mkuu.
Ukifanikiwa narudi Kilingeni kwangu Msata nikupe tuzo ya umahiriSio huu uchawi feki wa Mshana Jr, nataka uchawi wa kuwaadhibù wote wenye dharau na mashauzi nchini.
Naanza na wale waliochota mahela ya umma na uchafu wao umeorodheshwa kwenye CAG report.
Siwatoi mabusha, nawamaliza kwa mateso makali.
DPP ni nani hadi anawakumbatia wezi wasichunguzwe na Takukuru?
Katiba ya mwaka 1977 ni mwiba mchungu kwa mlalahoi. Katiba imetengeneza tabaka la wanaokula neema ya nchi na wasio na tumaini.
Bila kuua hawa wezi wanaolindwa na mfumo wa CCM nchi haiwezi kwenda.
Jamaa wamejizindika ndani na nje ya miili yao kwa uchawi wa ndani na nje ya nchi. Wameji connect na mwengeUkifanikiwa narudi Kilingeni kwangu Msata nikupe tuzo ya umahiri
TawireUkifanikiwa narudi Kilingeni kwangu Msata nikupe tuzo ya umahiri