Nataka nijifunze uchawi, niwaadhibu wezi wa mali ya umma, maana CCM inakumbatia wizi kupitia ofisi ya DPP

Nataka nijifunze uchawi, niwaadhibu wezi wa mali ya umma, maana CCM inakumbatia wizi kupitia ofisi ya DPP

Mkuu kumbuka kuwa hawa wezi wa ccm sio kwamba nao ni wachawi pia hapana bali pia ni wanga!
 
CAG anaiaibisha serikali KWA kututangazia wezi then Hakuna hatua inayochukuliwa
 
Hizo ni ngonjera za CAG za kila mwaka na mwakani ataimba pia ngonjera kama hizi. Sheria zetu zinawaogopa mafisadi
 
Screenshot_20230410-191948_WhatsApp.jpg
 
Sio huu uchawi feki wa Mshana Jr, nataka uchawi wa kuwaadhibù wote wenye dharau na mashauzi nchini.

Naanza na wale waliochota mahela ya umma na uchafu wao umeorodheshwa kwenye CAG report.

Siwatoi mabusha, nawamaliza kwa mateso makali.

DPP ni nani hadi anawakumbatia wezi wasichunguzwe na Takukuru?

Katiba ya mwaka 1977 ni mwiba mchungu kwa mlalahoi. Katiba imetengeneza tabaka la wanaokula neema ya nchi na wasio na tumaini.

Bila kuua hawa wezi wanaolindwa na mfumo wa CCM nchi haiwezi kwenda.
Ukifanikiwa narudi Kilingeni kwangu Msata nikupe tuzo ya umahiri
 
Back
Top Bottom