Myebusi Mweusi
JF-Expert Member
- Jan 23, 2022
- 671
- 1,543
Sio huu uchawi feki wa Mshana Jr, nataka uchawi wa kuwaadhibù wote wenye dharau na mashauzi nchini.
Naanza na wale waliochota mahela ya umma na uchafu wao umeorodheshwa kwenye CAG report.
Siwatoi mabusha, nawamaliza kwa mateso makali.
DPP ni nani hadi anawakumbatia wezi wasichunguzwe na Takukuru?
Katiba ya mwaka 1977 ni mwiba mchungu kwa mlalahoi. Katiba imetengeneza tabaka la wanaokula neema ya nchi na wasio na tumaini.
Bila kuua hawa wezi wanaolindwa na mfumo wa CCM nchi haiwezi kwenda.
Naanza na wale waliochota mahela ya umma na uchafu wao umeorodheshwa kwenye CAG report.
Siwatoi mabusha, nawamaliza kwa mateso makali.
DPP ni nani hadi anawakumbatia wezi wasichunguzwe na Takukuru?
Katiba ya mwaka 1977 ni mwiba mchungu kwa mlalahoi. Katiba imetengeneza tabaka la wanaokula neema ya nchi na wasio na tumaini.
Bila kuua hawa wezi wanaolindwa na mfumo wa CCM nchi haiwezi kwenda.