Nataka nijue kusoma Quaran

Acha kutufanya sisi mazuzu yan nimesoma hadi mwisho nimegundua ww ni kijana wa kiislamu umekuja hapa kutupotosha tuu
 
Karibu mkuu weka nia tu utaijua wala haina kazi
 
We unakuja mtu mzima utasumbua wakati unafundishwa.
Lakini uamuzi ni mzuri lakini ustaadhi akikuambia vua vua akikuambia fanya hiki fanya kikubwa chochote utakachokataa kiama utahukumiwa.
 
SIKU UKIFUMBA MACHO NDIO UTAJUA KULIKUWA NA DINI AU UTAPELI
Nitakapofumba macho ndiyo utakua mwisho wangu hiyo dini yako itanisaidia nini mimi. Ujue kwamba hakuna kitu motoni la kwanza. Moto upo hapa hapa hao watapeli wenu endeleeni kuwasikiliza na hizo riwaya zilizoandikwa miaka 2000 iliyopita
 
Makazi yangu mara nyingi nipo Moshi, Mbeya mjini na Iringa mkuu...nipe ushauri
Karibu sana katika uislam, Allah akupe wepesi katika kumjua na kutekeleza maamrisho yake na kuacha makatazo yake.
Neno moja nataka ujue, huku kuna changamoto kadhaa ambazo ni muhimu sana kuzijua na pia ujue namna ya kuzikabili, mojawapo ni elimu, elimu kivipi?
Ni kwamba kuna vyuo na walimu wengi sana lakini wengi pia ni wapotofu wameacha misingi halisi ya dini na kufuata matamanio ya nafsi zao kwa hiyo kutambua hilo kwako yaweza kuwa ni changamoto nakuhofia usije dondokea katika mikono ya watu wa batili.
Binafsi yangu nafuata QUR'AN na SUNNA kwa mujibu wa WEMA WALOTANGULIA, huu ni msingi muhimu watakiwa kuujua.
Nikutakie kila la kheri na Allah akuongoze katika njia yake.
 
Mtafute Abubakar Shakau, ndani ya wiki mbili utakuwa umemaliza kazi
 
Kama upo moshi na una nia hasa ya hiki ulikokisema naomba nikusaidie

Nenda pale national house, kwenye ule msikiti ulizia ustadh mohammed kessy, mweleze shida yako bi idhini llah atakusaidia shida yako

Au nenda pasua mtafute mtu anaitwa ustadhi makame mweleze shida yako utasaidiwa au pia

Nenda njoro mtafte ustadh omar ana chuo chake kikubwa cha taw la shamsiya utasoma bila shaka

Inshallah ufanikiwe katika hili.
 
Na majini yanapatikana huko huko?
 
Kuna watu kabisa wamekaa na kuanza kumushaul huyu jamaa?

Kuanzia Lin wewe jamaa ulikuwa mkristo? Day kwa day humu jukwaan wewe tunakujua fika kuwa ni mwichilam sasa Lin ulikuwa mkristo?

Au ndo ile ya kupiga ngoma then unaicheza mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…