Nataka nikamuoe mtoto wa mwenyekiti kiti pale machame Hai je mimi kapuku inawezekana?

Nataka nikamuoe mtoto wa mwenyekiti kiti pale machame Hai je mimi kapuku inawezekana?

Omopa

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
335
Reaction score
1,466
Wakuu nataka nijitose nikamuoe mtoto wa mwenyekiti pale machame ila hofu yangu kubwa je mimi kapuku inawezekana? Mimi mtumishi wa tamisemi kweli ninaza kwenda kumuoa yule mtoto? Na hiyo ndiyo ndoto yangu ya kila siku aiseee kwa sababu najua nikimuoa yule mimi umasikini bye bye na hakika nitalelewa na familia ile ya mwenyekiti na nitapewa mtaji na nitaacha kazi nitakuwa bize na biashara na mke wangu

Nikifanikiwa honeymoon pale protea hotel machame! Na hakika waelevu mmeelewa hahahaha
 
Ni kuwa na pick up line ya maana mbona watu wanaoa hadi kwa Rais ije kuwa kwa mwenyekiti Mao.
 
The way ulivyoandika ni kama vile huyo mtoto wa Mwenyekiti ni bidhaa unaenda kuinunua, huku ukiwa huna hela!
 
IMG-20241108-WA0160.jpg
 
Wakuu nataka nijitose nikamuoe mtoto wa mwenyekiti pale machame ila hofu yangu kubwa je mimi kapuku inawezekana? Mimi mtumishi wa tamisemi kweli ninaza kwenda kumuoa yule mtoto? Na hiyo ndiyo ndoto yangu ya kila siku aiseee kwa sababu najua nikimuoa yule mimi umasikini bye bye na hakika nitalelewa na familia ile ya mwenyekiti na nitapewa mtaji na nitaacha kazi nitakuwa bize na biashara na mke wangu

Nikifanikiwa honeymoon pale protea hotel machame! Na hakika waelevu mmeelewa hahahaha
Huna lolote, waelevu tumekwisha ng'amua. Wewe unachotamani ni kuolewa na mwenyekiti. Hapa unafanya kutuzuga Tu😁😁😁
 
Wakuu nataka nijitose nikamuoe mtoto wa mwenyekiti pale machame ila hofu yangu kubwa je mimi kapuku inawezekana? Mimi mtumishi wa tamisemi kweli ninaza kwenda kumuoa yule mtoto? Na hiyo ndiyo ndoto yangu ya kila siku aiseee kwa sababu najua nikimuoa yule mimi umasikini bye bye na hakika nitalelewa na familia ile ya mwenyekiti na nitapewa mtaji na nitaacha kazi nitakuwa bize na biashara na mke wangu

Nikifanikiwa honeymoon pale protea hotel machame! Na hakika waelevu mmeelewa hahahaha
Wewe ni haki yako mkeo kufirwa nje ndani
 
Back
Top Bottom