Nataka nikanunue bodaboda mjini, nizingatie yapi nisije kuuziwa mbuzi kwenye gunia?

Nataka nikanunue bodaboda mjini, nizingatie yapi nisije kuuziwa mbuzi kwenye gunia?

2in1

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2014
Posts
224
Reaction score
109
Habar wakuu,

Nataka ninunue pikipiki aina ya boxer bm150 kwa malengo ya biashara, Jana nilienda mjini k/koo kuulizia bei nikaambiwa ni Tsh 2,150,000 .So kabla sijanunua nimeona bora nije humu jamvini kwa ushauri na maelekezo zaidi ili nisije nikaingizwa mjini!!!
Naomba kujulishwa vitu gani nizingatie pindi ninaponunua na pia naomba kujuzwa mambo yafuatayo:-
  1. Nyaraka au nakala zipi, ngapi inabidi nipewe?
  2. Ni vitu gani ambavyo inapaswa nivikague kwenye hiyo pikipiki
  3. Je ni vitu gani ambavyo huwa mostly wanavichomoa au kubadilisha kwenye hiyo pikipiki na kukuekea vyengine visivyofaa au kutoweka kabisa?
  4. Je helmet inabidi nipewe? ,kama ndiyo wanipe ngapi?
  5. Je Vitu gani vyengine ukiachana na helmet inabidi nipewe?
 
Achana Na Boxer Mkuu chukua tvs hautajuta,chombo ni imara sana. Nina Tvs yangu namba ABZ lakini engine yake ni kinanda kuliko hawa wenzangu boxer.

ASANTE
 
hiyo hela ni nyingi sana kuwekeza kwenye piki piki... nakushauri tafuta mradi mwingine


Firstly nimeanza na uchambuz wa hii biashara ya bodaboda ambapo hesabu zangu zinanionyesha kwamb faida yake inayopatikana haiendani na mtaji wake
Hesab zangu ni kama ifuatavyo;

1st:Tuchukulie bodaboda ya mkataba wa elfu kumi kila siku then after mwaka mmoja(siku 365)dereva inakua yake
NB:hapa naondoa hesabu za services, traffic, ajali maana hayo yanakua juu ya dereva according to mkataba

MTAJI
Bei ya manunuz + vibali +bima ni takrIbani 2,400,000

MAPATO
10,000 *365 days= 3,650,000
FAIDA
3,650,000 - 2,400,000=1,250,000
FAIDA KWA SIKU
1,250,000/365 = 3425
So kwa biashara hii ya mtaji wa mil 2.4 inauwezo wa kukuingizia sh 3400 tu kwa siku kama faida!!

2nd:Tuchukulie hesabu ya 7000 kwa siku na bila ya makubaliano ya dereva kwamba itakuja kuwa yake

Hapa nimechukulia siku 360 kama mwaka,siku 65 zilizobaki hesabu yake nimefidia kwenye risk mbalimbali kama trafic, services,ajali etc
MAPATO
7000*300 days=2,100,000
Thamani ya bodaboda baada ya mwaka 1,500,000
2,100,000+1,500,000=3,600,000
FAIDA
3,600,000-2,400,000=1,200,000
FAIDA KWA SIKU
1,200,000/365=3200
Hapa inakua inakuingizia kiasi cha 3200 kwa siku

Nimepiga hizo hesabu kwa uwelewa wangu binafsi na sio mjuzi wa kupiga hizi calculation za profit and loss kwa hiyo kama faida kwenye biashara haziwi calculated kama hivyo naomba munisahihishe
 
hiyo hela ni nyingi sana kuwekeza kwenye piki piki... nakushauri tafuta mradi mwingine


Firstly nimeanza na uchambuz wa hii biashara ya bodaboda ambapo hesabu zangu zinanionyesha kwamb faida yake inayopatikana haiendani na mtaji wake
Hesab zangu ni kama ifuatavyo;

1st:Tuchukulie bodaboda ya mkataba wa elfu kumi kila siku then after mwaka mmoja(siku 365)dereva inakua yake
NB:hapa naondoa hesabu za services, traffic, ajali maana hayo yanakua juu ya dereva according to mkataba

MTAJI
Bei ya manunuz + vibali +bima ni takrIbani 2,400,000

MAPATO
10,000 *365 days= 3,650,000
FAIDA
3,650,000 - 2,400,000=1,250,000
FAIDA KWA SIKU
1,250,000/365 = 3425
So kwa biashara hii ya mtaji wa mil 2.4 inauwezo wa kukuingizia sh 3400 tu kwa siku kama faida!!

2nd:Tuchukulie hesabu ya 7000 kwa siku na bila ya makubaliano ya dereva kwamba itakuja kuwa yake

Hapa nimechukulia siku 360 kama mwaka,siku 65 zilizobaki hesabu yake nimefidia kwenye risk mbalimbali kama trafic, services,ajali etc
MAPATO
7000*300 days=2,100,000
Thamani ya bodaboda baada ya mwaka 1,500,000
2,100,000+1,500,000=3,600,000
FAIDA
3,600,000-2,400,000=1,200,000
FAIDA KWA SIKU
1,200,000/365=3200
Hapa inakua inakuingizia kiasi cha 3200 kwa siku

Nimepiga hizo hesabu kwa uwelewa wangu binafsi na sio mjuzi wa kupiga hizi calculation za profit and loss kwa hiyo kama faida kwenye biashara haziwi calculated kama hivyo naomba munisahihishe
Umejitahidi sana na huo mchanganuo mkuu,safi sana.
 
hiyo hela ni nyingi sana kuwekeza kwenye piki piki... nakushauri tafuta mradi mwingine


Firstly nimeanza na uchambuz wa hii biashara ya bodaboda ambapo hesabu zangu zinanionyesha kwamb faida yake inayopatikana haiendani na mtaji wake
Hesab zangu ni kama ifuatavyo;

1st:Tuchukulie bodaboda ya mkataba wa elfu kumi kila siku then after mwaka mmoja(siku 365)dereva inakua yake
NB:hapa naondoa hesabu za services, traffic, ajali maana hayo yanakua juu ya dereva according to mkataba

MTAJI
Bei ya manunuz + vibali +bima ni takrIbani 2,400,000

MAPATO
10,000 *365 days= 3,650,000
FAIDA
3,650,000 - 2,400,000=1,250,000
FAIDA KWA SIKU
1,250,000/365 = 3425
So kwa biashara hii ya mtaji wa mil 2.4 inauwezo wa kukuingizia sh 3400 tu kwa siku kama faida!!

2nd:Tuchukulie hesabu ya 7000 kwa siku na bila ya makubaliano ya dereva kwamba itakuja kuwa yake

Hapa nimechukulia siku 360 kama mwaka,siku 65 zilizobaki hesabu yake nimefidia kwenye risk mbalimbali kama trafic, services,ajali etc
MAPATO
7000*300 days=2,100,000
Thamani ya bodaboda baada ya mwaka 1,500,000
2,100,000+1,500,000=3,600,000
FAIDA
3,600,000-2,400,000=1,200,000
FAIDA KWA SIKU
1,200,000/365=3200
Hapa inakua inakuingizia kiasi cha 3200 kwa siku

Nimepiga hizo hesabu kwa uwelewa wangu binafsi na sio mjuzi wa kupiga hizi calculation za profit and loss kwa hiyo kama faida kwenye biashara haziwi calculated kama hivyo naomba munisahihishe
Mkuu naelewa vizuri sana kua hii biashara ina faida ndogo mno kulingana na mtaj wake. Lakini mkuu kinachonifanya niwekeze kwenye hii biashara ni kwamba mim ni mwanafunzi nasomea engineeeing studies masomo peke yake yananipa changamoto kuyahandle ndio mana sitaki kufanya biashara hizo nyengine kwa sasa mana naona nitaelemewa sana na sitaki kuathiri masom kisa biashara. Nimeamua kufanya hii bodaboda mana nampa kijana yeye atakua ananiletea hesabu tu hapo ikiharibika,ikipata ajali,ikiibiwa n.k ni juu yake mimi sihusiki!!
 
Achana Na Boxer Mkuu chukua tvs hautajuta,chombo ni imara sana. Nina Tvs yangu namba ABZ lakini engine yake ni kinanda kuliko hawa wenzangu boxer.

ASANTE
Poa mkuu ngojea nimshawishi dereva kuhusu hiyo tvs mana pia itakua ahueni kwangu, naona ipo cheap compared to boxer.
Mkuu naomba ufafanuzi kwenye yale maswal yangu bas

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo hela ni nyingi sana kuwekeza kwenye piki piki... nakushauri tafuta mradi mwingine


Firstly nimeanza na uchambuz wa hii biashara ya bodaboda ambapo hesabu zangu zinanionyesha kwamb faida yake inayopatikana haiendani na mtaji wake
Hesab zangu ni kama ifuatavyo;

1st:Tuchukulie bodaboda ya mkataba wa elfu kumi kila siku then after mwaka mmoja(siku 365)dereva inakua yake
NB:hapa naondoa hesabu za services, traffic, ajali maana hayo yanakua juu ya dereva according to mkataba

MTAJI
Bei ya manunuz + vibali +bima ni takrIbani 2,400,000

MAPATO
10,000 *365 days= 3,650,000
FAIDA
3,650,000 - 2,400,000=1,250,000
FAIDA KWA SIKU
1,250,000/365 = 3425
So kwa biashara hii ya mtaji wa mil 2.4 inauwezo wa kukuingizia sh 3400 tu kwa siku kama faida!!

2nd:Tuchukulie hesabu ya 7000 kwa siku na bila ya makubaliano ya dereva kwamba itakuja kuwa yake

Hapa nimechukulia siku 360 kama mwaka,siku 65 zilizobaki hesabu yake nimefidia kwenye risk mbalimbali kama trafic, services,ajali etc
MAPATO
7000*300 days=2,100,000
Thamani ya bodaboda baada ya mwaka 1,500,000
2,100,000+1,500,000=3,600,000
FAIDA
3,600,000-2,400,000=1,200,000
FAIDA KWA SIKU
1,200,000/365=3200
Hapa inakua inakuingizia kiasi cha 3200 kwa siku

Nimepiga hizo hesabu kwa uwelewa wangu binafsi na sio mjuzi wa kupiga hizi calculation za profit and loss kwa hiyo kama faida kwenye biashara haziwi calculated kama hivyo naomba munisahihishe
Mkuu nimependa sana mchanganuo wako...vipi kwahiyo pesa unaweza mshauri afanye biashara gani nje ya bodaboda
 
Mkuu naelewa vizuri sana kua hii biashara ina faida ndogo mno kulingana na mtaj wake. Lakini mkuu kinachonifanya niwekeze kwenye hii biashara ni kwamba mim ni mwanafunzi nasomea engineeeing studies masomo peke yake yananipa changamoto kuyahandle ndio mana sitaki kufanya biashara hizo nyengine kwa sasa mana naona nitaelemewa sana na sitaki kuathiri masom kisa biashara. Nimeamua kufanya hii bodaboda mana nampa kijana yeye atakua ananiletea hesabu tu hapo ikiharibika,ikipata ajali,ikiibiwa n.k ni juu yake mimi sihusiki!!
Ebwana na Mimi nasikiliza... Nataka kununua kama 5 hivi, itakuea pocket money ya Chuo. Kama hii haifai nasikia Bajaji poa zinalipa, hizo naweza nunua mbili.
Mjuzi njoo utujuze juu ya hizi biashara.

-callmeGhost
 
Ebwana na Mimi nasikiliza... Nataka kununua kama 5 hivi, itakuea pocket money ya Chuo. Kama hii haifai nasikia Bajaji poa zinalipa, hizo naweza nunua mbili.
Mjuzi njoo utujuze juu ya hizi biashara.

-callmeGhost

Mkuu naelewa vizuri sana kua hii biashara ina faida ndogo mno kulingana na mtaj wake. Lakini mkuu kinachonifanya niwekeze kwenye hii biashara ni kwamba mim ni mwanafunzi nasomea engineeeing studies masomo peke yake yananipa changamoto kuyahandle ndio mana sitaki kufanya biashara hizo nyengine kwa sasa mana naona nitaelemewa sana na sitaki kuathiri masom kisa biashara. Nimeamua kufanya hii bodaboda mana nampa kijana yeye atakua ananiletea hesabu tu hapo ikiharibika,ikipata ajali,ikiibiwa n.k ni juu yake mimi sihusiki!!
Vijana siwakatishi tamaa ila hii biashara inausumbufu sana wanaofaidika sana na hii biashara ni wale wanaonunua hivi vyombo na kuingia wenyewe kufanya kazi hapo utaingiza mpunga hadi wewe mwenyewe utashangaa na utakitunza kwasababu umekitolea jasho sasa kwasababu nyinyi ni wanafunzi usimamizi wa hiyo kitu ni mgumu unaweza nunua chombo kisifikishe hata miezi 6 kikawa akitamaniki na ulichoingiza hakionekani na vijana wenyewe wa sasa hivi chombo hicho hicho kinaweza kukuletea kesi,jaribuni kufikiria miradi ambayo mnajua nyinyi wenyewe pamoja na kuwa mnasoma lakini mtakuwa na uwezo wa kusimamia.

-Ndumilakuwili-
 
una hela ya kununua boda boda tano.. ambazo ni zaidi ya milion 10 na hujui cha kufanya.. zaidi ya boda boda tu... kweli kwenye miti hakuna wajenzi..

fanya stress free business.. piga hata picha wanafunzi wenzako kisasa utapata hela bila hata stress



Ebwana na Mimi nasikiliza... Nataka kununua kama 5 hivi, itakuea pocket money ya Chuo. Kama hii haifai nasikia Bajaji poa zinalipa, hizo naweza nunua mbili.
Mjuzi njoo utujuze juu ya hizi biashara.

-callmeGhost
 
una hela ya kununua boda boda tano.. ambazo ni zaidi ya milion 10 na hujui cha kufanya.. zaidi ya boda boda tu... kweli kwenye miti hakuna wajenzi..

fanya stress free business.. piga hata picha wanafunzi wenzako kisasa utapata hela bila hata stress
Duh kupiga picha[emoji15] ? Wazo zuri, ila kuna wazazi wetu watemi hawataki kusikia. Kipindi nipo secondary, skonga kulikuwa na music classes, nilikuwa mzuri kwenye guitar na piano. Ebwana wazazi walivyojua, ilikuwa ni mikwala Kila siku, oooh nikisikia unaenda kuimba sijui wapi, utanielewa, yamuziki yabaki music class. Sasa hiyo kupiga Picha na kuedit sijui nini, hawatanisoma kabisa huku wamelipia medical school.

Anyway, wazo zuri. Bora hata nianze biashara za kuuza dagaa, later nitahamia kufanya biashara kubwa za China.

-callmeGhost
 
Nasikia Boxer za K/koo ni majanga, wachina wamekopi engine za boxer so wanachofanya wafanyabiashara wanatoa engine orijino then wanaweka za kichina ambazo ni fake, hata hiyo bei naona iko chin. Nenda kanunue kwa ajenti wa BOXER/BAJAJ pale Nyerere rd.
 
Vijana siwakatishi tamaa ila hii biashara inausumbufu sana wanaofaidika sana na hii biashara ni wale wanaonunua hivi vyombo na kuingia wenyewe kufanya kazi hapo utaingiza mpunga hadi wewe mwenyewe utashangaa na utakitunza kwasababu umekitolea jasho sasa kwasababu nyinyi ni wanafunzi usimamizi wa hiyo kitu ni mgumu unaweza nunua chombo kisifikishe hata miezi 6 kikawa akitamaniki na ulichoingiza hakionekani na vijana wenyewe wa sasa hivi chombo hicho hicho kinaweza kukuletea kesi,jaribuni kufikiria miradi ambayo mnajua nyinyi wenyewe pamoja na kuwa mnasoma lakini mtakuwa na uwezo wa kusimamia.

-Ndumilakuwili-
nimelipenda jina lako .... reflection ya jina na point zako ni tofautati
nimekuelewa sana mkuu me ni mmoja kat ya wachache waliofikiria hii biashara but umenifungua kitu ... Bado naendelea kutafakari
 
Nasikia Boxer za K/koo ni majanga, wachina wamekopi engine za boxer so wanachofanya wafanyabiashara wanatoa engine orijino then wanaweka za kichina ambazo ni fake, hata hiyo bei naona iko chin. Nenda kanunue kwa ajenti wa BOXER/BAJAJ pale Nyerere rd.
Mkuu asnte sana,nitafanyia kazi ushauri huu nitaenda kununulia pale makao makuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dereva ninayetaka kumkabidhi chombo anataka boxer. Hapo ikiharibika atajua yeye maana tunawekeana mkataba mkuu!
Hela yako hiyo njoo pm nikupe fursa ndan ya mwez mmoja unarudisha hela yako na faidaa laki nane kama upo serious

shushushu VIP
 
Back
Top Bottom