Nataka nikanunue bodaboda mjini, nizingatie yapi nisije kuuziwa mbuzi kwenye gunia?

Nataka nikanunue bodaboda mjini, nizingatie yapi nisije kuuziwa mbuzi kwenye gunia?

Biashar ya pkpk nimefanya mpaka sitaman,,mara kashikwa na trafik anakuambiaa na akikuambiaa week ikifika atakupa kidogoo ,,pkpk moja nmetoaa kwa mkatabaa wa mwakaa ,kamaliza mwaka nikawa namdai kama hela ya week 24 ,,mpaka sasa ni kama mwaka na miez sabaa ,bado namdai lak nne hapo majanga yakimkuta hakup ,inafka kipnd anakuambia mtoto wake mgonjwa kila tatzo likitokea anakuambiaa

shushushu VIP
 
Hkkisha wanakupa
Kadi ya pkpk..inakuaga ktk jina la kampuni au hapo uliponunulia
So ukipewa hkksha kesho yake unaenda tra kubDilisha jina ili iwe na jina lako bnfsi
Thn hkksha unakata insurance either ndogo au kubwa
Yapo makampn mengi ila kwa uchche ni reliance, bumaco etc
Thn kama huko kwenu kuna umoja wa bodaboda na wanatoza ada ya uanachama thn ni vzr ulipie na huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hkkisha wanakupa
Kadi ya pkpk..inakuaga ktk jina la kampuni au hapo uliponunulia
So ukipewa hkksha kesho yake unaenda tra kubDilisha jina ili iwe na jina lako bnfsi
Thn hkksha unakata insurance either ndogo au kubwa
Yapo makampn mengi ila kwa uchche ni reliance, bumaco etc
Thn kama huko kwenu kuna umoja wa bodaboda na wanatoza ada ya uanachama thn ni vzr ulipie na huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran bro, ila huko kubadilisha jina wanatoza bei gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kwa upande wangu hii biashara ya bodaboda achananayo kabisa.Hutapata pesa na kikubwa utakachoambulia ni patupu.Katika biashara kichaa hapa Tz ni kununua bodaboda ukampa mtu ili utegemee akuletee pesa.Sikushauri ila ukitaka kununua zingatia unapata kadi ya pkpk ,risiti ya efd na ifanyie matengenezo ya awali kwa matumizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo hela ni nyingi sana kuwekeza kwenye piki piki... nakushauri tafuta mradi mwingine


Firstly nimeanza na uchambuz wa hii biashara ya bodaboda ambapo hesabu zangu zinanionyesha kwamb faida yake inayopatikana haiendani na mtaji wake
Hesab zangu ni kama ifuatavyo;

1st:Tuchukulie bodaboda ya mkataba wa elfu kumi kila siku then after mwaka mmoja(siku 365)dereva inakua yake
NB:hapa naondoa hesabu za services, traffic, ajali maana hayo yanakua juu ya dereva according to mkataba

MTAJI
Bei ya manunuz + vibali +bima ni takrIbani 2,400,000

MAPATO
10,000 *365 days= 3,650,000
FAIDA
3,650,000 - 2,400,000=1,250,000
FAIDA KWA SIKU
1,250,000/365 = 3425
So kwa biashara hii ya mtaji wa mil 2.4 inauwezo wa kukuingizia sh 3400 tu kwa siku kama faida!!

2nd:Tuchukulie hesabu ya 7000 kwa siku na bila ya makubaliano ya dereva kwamba itakuja kuwa yake

Hapa nimechukulia siku 360 kama mwaka,siku 65 zilizobaki hesabu yake nimefidia kwenye risk mbalimbali kama trafic, services,ajali etc
MAPATO
7000*300 days=2,100,000
Thamani ya bodaboda baada ya mwaka 1,500,000
2,100,000+1,500,000=3,600,000
FAIDA
3,600,000-2,400,000=1,200,000
FAIDA KWA SIKU
1,200,000/365=3200
Hapa inakua inakuingizia kiasi cha 3200 kwa siku

Nimepiga hizo hesabu kwa uwelewa wangu binafsi na sio mjuzi wa kupiga hizi calculation za profit and loss kwa hiyo kama faida kwenye biashara haziwi calculated kama hivyo naomba munisahihishe
Umechanua vizuri,Ila umesahau kua baada ya mapato hayo ya mwaka mzima still bodaboda inakua Mali yako,ambapo kama ulibahatika kudum nayo 1 yr ukiiuza pia faida inaongezeka maradufu,
Ila,tahadhari iwepo kwenye loss pia,hv ni vyombo vya moto,kuna kuibiwa,kuna ajali n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar wakuu,

Nataka ninunue pikipiki aina ya boxer bm150 kwa malengo ya biashara, Jana nilienda mjini k/koo kuulizia bei nikaambiwa ni Tsh 2,150,000 .So kabla sijanunua nimeona bora nije humu jamvini kwa ushauri na maelekezo zaidi ili nisije nikaingizwa mjini!!!
Naomba kujulishwa vitu gani nizingatie pindi ninaponunua na pia naomba kujuzwa mambo yafuatayo:-
  1. Nyaraka au nakala zipi, ngapi inabidi nipewe?
  2. Ni vitu gani ambavyo inapaswa nivikague kwenye hiyo pikipiki
  3. Je ni vitu gani ambavyo huwa mostly wanavichomoa au kubadilisha kwenye hiyo pikipiki na kukuekea vyengine visivyofaa au kutoweka kabisa?
  4. Je helmet inabidi nipewe? ,kama ndiyo wanipe ngapi?
  5. Je Vitu gani vyengine ukiachana na helmet inabidi nipewe?

Ukimaliza Kuinunua hakikisha pia Chenji itakayobaki basi unajinunulia Jeneza lako zuri tu kwani tayari Tiketi maalum ya kukufanya ungie humo Jenezani umeshaipata Mkuu.
 
Kama ungegeukia kilimo Mkuu ndani ya miezi mitatu unakua mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ya kichaaa iyo. Wakulima wengi hawajatoka kimaisha, unamshauri akalime tumia akili.
Kama wewe kilimo kimekulipa onyesha vitu ulivyo vipata kupitia kilimo.
Mnachukulia kilimo kama kazi ya kukaa kwenye kiyoyozi
 
Mkuu naelewa vizuri sana kua hii biashara ina faida ndogo mno kulingana na mtaj wake. Lakini mkuu kinachonifanya niwekeze kwenye hii biashara ni kwamba mim ni mwanafunzi nasomea engineeeing studies masomo peke yake yananipa changamoto kuyahandle ndio mana sitaki kufanya biashara hizo nyengine kwa sasa mana naona nitaelemewa sana na sitaki kuathiri masom kisa biashara. Nimeamua kufanya hii bodaboda mana nampa kijana yeye atakua ananiletea hesabu tu hapo ikiharibika,ikipata ajali,ikiibiwa n.k ni juu yake mimi sihusiki!!
Maelezo ktk paragraph ya mwisho ndio itakuwa anguko lako. Mungu aepushe. Hawa jamaa wa bodaboda Si wa kuwapa Uhuru huo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nimependa sana mchanganuo wako...vipi kwahiyo pesa unaweza mshauri afanye biashara gani nje ya bodaboda
Kama ataweza. Kama ataweza. Msimu Huu wa mavuno, anunue mahindi na kuyahifadhi mpk January or February. Kipindi hicho njaa huwa imetamalaki na price huwa ni mara mbili au zaidi ya bei alonunulia. Soko kwa kipindi hicho sio tatizo.

Changamoto ni sehemu ya kuhifadhi na dawa za kuyasitiri mahindi dhidi ya wadudu.

Kwa vijiji vya Mpwapwa, maeneo ya Gairo na Kibaigwa, 2.4 m anapata Si chini ya gunia 40.

Mwaka Jana, January to March, gunia la Mahindi lilifika mpk Tshs 140,000.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simpo tu badala ya kuweka 2.4 zote kwenye pikipiki moja mpya gawa mzigo katikati tafuta boxa used mbili jwa watu nunua izo na uhakika utapata faida mara mbili,

mi naamini chombo cha moto ni matunzo kinaweza kudumu miaka mia hata kama ni used

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ataweza. Kama ataweza. Msimu Huu wa mavuno, anunue mahindi na kuyahifadhi mpk January or February. Kipindi hicho njaa huwa imetamalaki na price huwa ni mara mbili au zaidi ya bei alonunulia. Soko kwa kipindi hicho sio tatizo.

Changamoto ni sehemu ya kuhifadhi na dawa za kuyasitiri mahindi dhidi ya wadudu.

Kwa vijiji vya Mpwapwa, maeneo ya Gairo na Kibaigwa, 2.4 m anapata Si chini ya gunia 40.

Mwaka Jana, January to March, gunia la Mahindi lilifika mpk Tshs 140,000.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri mzuri sana mkuu nimejifunza kitu
 
Milioni 2. Pamoja na vibali au inakuwaje? Na jee? Ulaji wa mafuta upoje ukilinganisha na BM 150 Boxer-150
Pamoja na vibali mkuu,ila wewe itabidi ukabadilishe jina la mmiliki yani liwe lako kwa sh 37,000 pia ulaji wa mafuta TVS-124.7cc, boxer 150cc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bodaboda inamlipa yule anayeinunua nakuifanyia biaahara mwenyewe,kitendo chakumkabidhi mtu aitumie awe anakuletea pesa ni majanga,huwa kunakua usumbufu hovyohovyo na pesa haipatikani.


Mimi niliwahinunua hiyo bodaboda aina ya SANLG,kwakweli ilinitesa sana,mara niambiwe boss nimekamatwa na trafiki,mara mvua imenizuia kufanya kazi,mara nini,hela hamna kabisa,wiki hii unapewa pesa,wiki ijayo hupati.

Sasa hivi mwezi ujao nanunua bodaboda nyingine lakini ntaifanyia kazi mwenyewe eneo la chuo cha UDOM kwakuhakikisha nakua na wateja wangu permanent 50,wengi wao akina dada wale wavivu wakwenda kufuata chips au vyakula vingine sehemu moja inaitwa kwa WAJAS,nina uhakika nitakua nalala na sio chini ya 30,000/= na ntakua nafanya kazi siku saba za wiki.Ninao uhakika wakufikisha si chini ya laki nane au tisa kwa mwezi kwasababu ya idadi ya wateja nitakaokua nao pale.

MUNGU nisaidie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom