dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,174
- 5,658
Mzee tunakutafuta huku, PM umefunga?Hela yako hiyo njoo pm nikupe fursa ndan ya mwez mmoja unarudisha hela yako na faidaa laki nane kama upo serious
shushushu VIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee tunakutafuta huku, PM umefunga?Hela yako hiyo njoo pm nikupe fursa ndan ya mwez mmoja unarudisha hela yako na faidaa laki nane kama upo serious
shushushu VIP
pole sana, si bora hiyo hela ukaweka bank utakuwa unatoa kidogokidogo kuliko risk ya namna hiyo, zingatia mchanganuo wa jamaa biashara ya bodaboda sio biashara labda uendeshe weweMkuu naelewa vizuri sana kua hii biashara ina faida ndogo mno kulingana na mtaj wake. Lakini mkuu kinachonifanya niwekeze kwenye hii biashara ni kwamba mim ni mwanafunzi nasomea engineeeing studies masomo peke yake yananipa changamoto kuyahandle ndio mana sitaki kufanya biashara hizo nyengine kwa sasa mana naona nitaelemewa sana na sitaki kuathiri masom kisa biashara. Nimeamua kufanya hii bodaboda mana nampa kijana yeye atakua ananiletea hesabu tu hapo ikiharibika,ikipata ajali,ikiibiwa n.k ni juu yake mimi sihusiki!!
Mkuu, nami naomba unidondoshee hizo nondo kwa PM ntashkuru kiongozi.Hela yako hiyo njoo pm nikupe fursa ndan ya mwez mmoja unarudisha hela yako na faidaa laki nane kama upo serious
shushushu VIP
Mkataba ndio Dili wangu amemaliza juzi Mkataba mpaka namuonea wivu yaani kanyakua chombo hvi hvi ila nimemsaidia maisha piaDereva ninayetaka kumkabidhi chombo anataka boxer. Hapo ikiharibika atajua yeye maana tunawekeana mkataba mkuu!