Nataka nikanunue bodaboda mjini, nizingatie yapi nisije kuuziwa mbuzi kwenye gunia?

pole sana, si bora hiyo hela ukaweka bank utakuwa unatoa kidogokidogo kuliko risk ya namna hiyo, zingatia mchanganuo wa jamaa biashara ya bodaboda sio biashara labda uendeshe wewe
 
Mi nakushauri hiyo hela ukainunulie magunia ya mahindi kisha yapige dawa subiria miezi minne utauza bei mara mbili ya hiyo ulinunulia na utapata faida kubwa tu.
 
Hela yako hiyo njoo pm nikupe fursa ndan ya mwez mmoja unarudisha hela yako na faidaa laki nane kama upo serious

shushushu VIP
Mkuu, nami naomba unidondoshee hizo nondo kwa PM ntashkuru kiongozi.

Am waiting. Thanks.
 
Dereva ninayetaka kumkabidhi chombo anataka boxer. Hapo ikiharibika atajua yeye maana tunawekeana mkataba mkuu!
Mkataba ndio Dili wangu amemaliza juzi Mkataba mpaka namuonea wivu yaani kanyakua chombo hvi hvi ila nimemsaidia maisha pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…