Wilfred Ramadhan
JF-Expert Member
- Apr 7, 2022
- 503
- 905
Hivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaya ubaya tu.Choma mbusi hiyo!Amini mkuu
Ubaya ubaya tu.Choma mbusi hiyo!
Itajenga kweli hii mzeeAcha uchawi,mpotezee tu kwa vile umeshagundua ujinga wake
Kumbe mada ambazo zinatakiwa kuletwa apa ni kama zipi mkuuTabia unayoionyesha hapa siyo ya kiume kabisa. Jambo dogo kama hili maliza mwenyewe hukuwa na haja kuleta huku.
Anhhaaa sawa saw mkuuAchana nae kiroho Safi ndugu,mwache bom kimlipukie yeye mwenyewe
Sasa mchumba wako analiwa na ww unachekelea? Au na wewe unataka kuukaliaNina mchumba angu ambae sasa tuna miaka mitatu nikiwa nae ila mienendo yake inaanza kunitia wasiwasi sana na kuna vitu nimeshabaini kwake.
1. Kuna shemeji yake ambaye kamuoa dada yake mkubwa anamtaka na wana mawasiliano ya karibu hadi kamtumia kiasi cha pesa mara kadhaa jumla haiwezi kupungua laki mbili na wanakutana mara kadhaa na huwa haniambii mpaka nijue kwa jitihada zangu au mpaka dada yake amtukane kuhusu swala la kukutana na mme wake bila taarifa yeye kupata maana nahisi kama kahack simu ya mumewe.
2. Mara zote nikimuuliza kuhusu ili jambo anakua mkali sana na kufanya kama vile mimi simuamini ilihali anasema ukweli na mambo mengine mengi ambayo yananifanya nimchome kwa ndugu zake.
NB: Kuna mambo ambayo mimi nayajua mengi na nikimwambia dada yake lazima tu apo litokee jambo kubwa sasa nawaza apa nimchome ili kila mtu akose kila kitu maana mimi hilo nilikua nalisamehe ila bado kuna la ex wake kwaio nataka nimchome naombeni ushauri wenu wakuu.
😂😂Apa serikali hainiachi maana mi natumia sigara kubaa ileZimia sigara kwenye kibanda cha nyasi hicho, kisha ondoka huku unapiiga mluzi
Dah😂😂😂Sasa mchumba wako analiwa na ww unachekelea? Au na wewe unataka kuukalia
Nimekuelewa mkuuMwache ila kiroho Safi mwambie kwa moja mbili Tatu hapana pita hivi
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Dah naona kama ntapoteza mechiMengine unaachana nayo bro
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zimia sigara kwenye kibanda cha nyasi hicho, kisha ondoka huku unapiiga mluzi