Wilfred Ramadhan
JF-Expert Member
- Apr 7, 2022
- 503
- 905
- Thread starter
- #61
Anatakiwa kuchomwaDawa njema ni kumchoma tu moja kwa moja,
Lakini uanaume nikumpiga chini na kuachana naye hakufai kabisa huyo hata akisema amerekebika,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatakiwa kuchomwaDawa njema ni kumchoma tu moja kwa moja,
Lakini uanaume nikumpiga chini na kuachana naye hakufai kabisa huyo hata akisema amerekebika,
Nimerudia kuisoma mara mbili hiiNawewe kwanini ukae uchumba miaka yote hiyo! Alafu unasema kuna tabia umeanza kuziona ambazo sizo...ni kawaida babaa, hiyo yako si uchumba tena, ni ndoa. Na kawaida ya binadamu mkishakaa pamoja muda mrefu mtajuana tu kwa mabaya na mazuri. Sasa pokea mapungufu ya mwenzio alafu jaribu kumjenga, kama hajengeki bahati yako ni hujafunga nae pingu za maisha hivyo we pita hivi...apite kule...utanishukuru badae, nipo nimekaa paleeee.
Uchumba umekuwa sugu huo kaka hebu muachane kidogo then mtongoze upya mrestore 😂😂atakuwa na mienendo km ya zamn
😂kwaniniSijui kama unaweza kumuacha
Uchumba miak mitatu km mnaandaa operation ya kupindua nchi😂😂kwanini
Halafu kwa ubwege wako utakuja kufunga naye pingu za maisha.Nina mchumba wangu ambae sasa tuna miaka mitatu nikiwa nae ila mienendo yake inaanza kunitia wasiwasi sana na kuna vitu nimeshabaini kwake.
1. Kuna shemeji yake ambaye kamuoa dada yake mkubwa anamtaka na wana mawasiliano ya karibu hadi kamtumia kiasi cha pesa mara kadhaa jumla haiwezi kupungua laki mbili na wanakutana mara kadhaa na huwa haniambii mpaka nijue kwa jitihada zangu au mpaka dada yake amtukane kuhusu swala la kukutana na mme wake bila taarifa yeye kupata maana nahisi kama kahack simu ya mumewe.
2. Mara zote nikimuuliza kuhusu ili jambo anakua mkali sana na kufanya kama vile mimi simuamini ilihali anasema ukweli na mambo mengine mengi ambayo yananifanya nimchome kwa ndugu zake.
NB: Kuna mambo ambayo mimi nayajua mengi na nikimwambia dada yake lazima tu apo litokee jambo kubwa sasa nawaza apa nimchome ili kila mtu akose kila kitu maana mimi hilo nilikua nalisamehe ila bado kuna la ex wake kwaio nataka nimchome naombeni ushauri wenu wakuu.
Kuchamba mwachie dada akohiyo sio tabia ya kiume kama umemchoka achana nae umbea waachie wanawake
sawa sawaKuchamba mwachie dada ako
Sawasawa sawa
😂😂😂🤣🤣🤣 vituko kweli
[emoji848][emoji848][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ubaya ubaya tu. Choma mbusi hiyo!
[emoji28][emoji419][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Zimia sigara kwenye kibanda cha nyasi hicho, kisha ondoka huku unapiiga mluzi
Imebidi ucheke tu [emoji28][emoji119]Dah[emoji23][emoji23][emoji23]
Duuhh huyo muharibie tu mamaeeMwaka wa pili tangu posa