Nataka nimchome kwa ndugu zake

Nataka nimchome kwa ndugu zake

Nawewe kwanini ukae uchumba miaka yote hiyo! Alafu unasema kuna tabia umeanza kuziona ambazo sizo...ni kawaida babaa, hiyo yako si uchumba tena, ni ndoa. Na kawaida ya binadamu mkishakaa pamoja muda mrefu mtajuana tu kwa mabaya na mazuri. Sasa pokea mapungufu ya mwenzio alafu jaribu kumjenga, kama hajengeki bahati yako ni hujafunga nae pingu za maisha hivyo we pita hivi...apite kule...utanishukuru badae, nipo nimekaa paleeee.
 
Nawewe kwanini ukae uchumba miaka yote hiyo! Alafu unasema kuna tabia umeanza kuziona ambazo sizo...ni kawaida babaa, hiyo yako si uchumba tena, ni ndoa. Na kawaida ya binadamu mkishakaa pamoja muda mrefu mtajuana tu kwa mabaya na mazuri. Sasa pokea mapungufu ya mwenzio alafu jaribu kumjenga, kama hajengeki bahati yako ni hujafunga nae pingu za maisha hivyo we pita hivi...apite kule...utanishukuru badae, nipo nimekaa paleeee.
Nimerudia kuisoma mara mbili hii
 
Nina mchumba wangu ambae sasa tuna miaka mitatu nikiwa nae ila mienendo yake inaanza kunitia wasiwasi sana na kuna vitu nimeshabaini kwake.

1. Kuna shemeji yake ambaye kamuoa dada yake mkubwa anamtaka na wana mawasiliano ya karibu hadi kamtumia kiasi cha pesa mara kadhaa jumla haiwezi kupungua laki mbili na wanakutana mara kadhaa na huwa haniambii mpaka nijue kwa jitihada zangu au mpaka dada yake amtukane kuhusu swala la kukutana na mme wake bila taarifa yeye kupata maana nahisi kama kahack simu ya mumewe.

2. Mara zote nikimuuliza kuhusu ili jambo anakua mkali sana na kufanya kama vile mimi simuamini ilihali anasema ukweli na mambo mengine mengi ambayo yananifanya nimchome kwa ndugu zake.

NB: Kuna mambo ambayo mimi nayajua mengi na nikimwambia dada yake lazima tu apo litokee jambo kubwa sasa nawaza apa nimchome ili kila mtu akose kila kitu maana mimi hilo nilikua nalisamehe ila bado kuna la ex wake kwaio nataka nimchome naombeni ushauri wenu wakuu.
Halafu kwa ubwege wako utakuja kufunga naye pingu za maisha.

Malaika wako mlinzi ashakuonesha rangi zake halisi na kilichosalia ni maamuzi yako maana ukiingia kwenye ndoa ujue ndo ushasiliba mpaka Mbinguni.

Chukua hatua
Piga hatua
Achana naye
 
Kama sio mkeo si umuache aende mkuu.
Hiyo mambo ya kuiharibu familia ya mwenzio wewe itakusaidia nini?

Temana nae uwaacha wapambane na hali zao.
 
Back
Top Bottom