Nataka nimchome kwa ndugu zake

Nataka nimchome kwa ndugu zake

Nina mchumba wangu ambae sasa tuna miaka mitatu nikiwa nae ila mienendo yake inaanza kunitia wasiwasi sana na kuna vitu nimeshabaini kwake.

1. Kuna shemeji yake ambaye kamuoa dada yake mkubwa anamtaka na wana mawasiliano ya karibu hadi kamtumia kiasi cha pesa mara kadhaa jumla haiwezi kupungua laki mbili na wanakutana mara kadhaa na huwa haniambii mpaka nijue kwa jitihada zangu au mpaka dada yake amtukane kuhusu swala la kukutana na mme wake bila taarifa yeye kupata maana nahisi kama kahack simu ya mumewe.

2. Mara zote nikimuuliza kuhusu ili jambo anakua mkali sana na kufanya kama vile mimi simuamini ilihali anasema ukweli na mambo mengine mengi ambayo yananifanya nimchome kwa ndugu zake.

NB: Kuna mambo ambayo mimi nayajua mengi na nikimwambia dada yake lazima tu apo litokee jambo kubwa sasa nawaza apa nimchome ili kila mtu akose kila kitu maana mimi hilo nilikua nalisamehe ila bado kuna la ex wake kwaio nataka nimchome naombeni ushauri wenu wakuu.
Zaeni nao tu na sio kuoa..wanawake wa kuoa wamebaki wachache sana
 
Safi
 

Attachments

  • mfungua_code_insta2_1667408016791956.mp4
    5.8 MB
Choma chomoa ndio mpango mzima sema ukweli ukuweke huru halafu kapime afya ukikutwa mzima mshukuru Mungu ukiwa umeungua kunywa dawa ishii ,ndio hivyoo pole lakini kwa maana miaka yote hiyo upo naye na nikavu tu unapiga shoo na shem wake haujui afya yake nyie mnapiga tu kavu
 
Back
Top Bottom