Nataka nimchome kwa ndugu zake

Swala ni moja tu..."DETONATE"💥🌟🔥🔥🔥
 
Kwani huyo ndugu yake anaPenda kuibiwa mumewe😀 huyo mdogo wake malaya malaya analamba asali huku akimtesa msela mi naona msela akiwashe tu.
 
Wewe ndiye maamuzi halafu unadai eti unataka ukamchome kwa ndugu zake,hivi unajielewa kweli!
 
Kwani huyo ndugu yake anaPenda kuibiwa mumewe😀 huyo mdogo wake malaya malaya analamba asali huku akimtesa msela mi naona msela akiwashe tu.
Tatizo anaweza kudhuru hata wasiokuwa na hatia. Mfano wazazi kuathirika kisaikolojia.
 
Mi ningrshasanua noma siku nyingi kama mbwai mbwai tu.mpigie mama yake mwambie umesitisha uchumba mpe sababu watajuana wenyeww huko
 
Miaka mitatu unagundua nini kwakwe weh mimi mtu ni mwaka 1 tu basi hayupo serious na ww hata ingekuwa mimi yeye ningefanya the same huelekei kuwa muoaji akaona adangee
 
Dawa njema ni kumchoma tu moja kwa moja,
Lakini uanaume nikumpiga chini na kuachana naye hakufai kabisa huyo hata akisema amerekebika,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…