Nataka nimsaidie kisiri rafiki mlinzi shilingi milioni 1.2 kwa mategemeo ataacha ulinzi anaolalamka unamtesa ili afanye biashara. Je, nitarajie hilo?

Muulize anafanya biashara gani? Angalia changamoto kwenye biashara yake na uifanyie maboresho katika hicho kiasi kwa ku top up capital yake siku baada ya siku pale mzunguko wake unapoongezeka siku baada ya siku

Kuumpa mtu hela hiyo kwa mara moja kunaweza msaidia au kusimsaidie kama alikuwa na videni vidogo vidogo au changamoto nyingine.

Mweleze kuwa wataka ku invest kwenye biashara yake ya capital usiyo mwambia na kufika kuangalia nini anafanya.. akija na fadhila au akikupa mwambie akale yeye na familia yake au asaidie wengine waliochiniyake anayeona wanahitaji msaada huo
 
Muulize kwanza akipata millioni 1 anaweza kufanyia nini ukiona anakujibu straight huyo anamipango ukiona anachekacheka ujue huyo ni mwendo wa kujipongezaa tu ukimpa..

Ingawa kama unataka kweli afanikiwe usiangalie sana atamudu au la wewe mjengee kwanza uwezo kwanza then mwezeshe wazungu wanaweza hili sana sisi sijui tunashindwa wapi..

Pia unaweza kuomba mawazo mbalimbali ya biashara kutoka kwake kuona he anapenda biasha au la..!
Note:
Usitoe hela yako kwa mtu ambaye nature yake sio mfanya biashara atachemka na utampa lawama bure
 
Msaidie ndugu yangu MUNGU MWENYEZI hatakusahau nawe pia katika unyonge wako utakapo ingia kwenye matata

Vijana tunateseka sana tukumbuken
 
Ukitaka kufanya Siri mkopeshe ili ajue àna wajibu wa kurudisha. Akimaliza kurudisha mzàwadie hiyo aliyorudisha nà umpongeze kwa kupambana. Hapo utamsàidia kisirisiri.
 
Ukitaka kufanya Siri mkopeshe ili ajue àna wajibu wa kurudisha. Akimaliza kurudisha mzàwadie hiyo aliyorudisha nà umpongeze kwa kupambana. Hapo utamsàidia kisirisiri.
Mkopo hauna usiri, tena akishindwa kulipa hata kama ni nje ya uwezo wake mfano akiibiwa pesa kuna ule uhuru utapotea kabisa baina yetu.
 
Somtime acha mtu apitie moto wake kwenye maisha kuliko kuingilia training anayopitshwa na Mungu wake.... Japo msaada pia ua ni ktu kzur unaweza kua ww ndio daraja la kumtoa hatua moja kwenda nyingine
Acha roho mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…