The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Muulize anafanya biashara gani? Angalia changamoto kwenye biashara yake na uifanyie maboresho katika hicho kiasi kwa ku top up capital yake siku baada ya siku pale mzunguko wake unapoongezeka siku baada ya siku
Kuumpa mtu hela hiyo kwa mara moja kunaweza msaidia au kusimsaidie kama alikuwa na videni vidogo vidogo au changamoto nyingine.
Mweleze kuwa wataka ku invest kwenye biashara yake ya capital usiyo mwambia na kufika kuangalia nini anafanya.. akija na fadhila au akikupa mwambie akale yeye na familia yake au asaidie wengine waliochiniyake anayeona wanahitaji msaada huo
Kuumpa mtu hela hiyo kwa mara moja kunaweza msaidia au kusimsaidie kama alikuwa na videni vidogo vidogo au changamoto nyingine.
Mweleze kuwa wataka ku invest kwenye biashara yake ya capital usiyo mwambia na kufika kuangalia nini anafanya.. akija na fadhila au akikupa mwambie akale yeye na familia yake au asaidie wengine waliochiniyake anayeona wanahitaji msaada huo