JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 476
nisinunue ipi sasaNAKUSHAURI USINUNUE,
SINATATIZO LA KUZIMA NA KUWAKA
ZINA GOMA GOMA MUDA FLANI
IPhone pro-max 13 pro.nisinunue ipi sasa
Sina budget ya hio simu mzee babaIPhone pro-max 13 pro.
Infinixy ni tecno tu mkuuHabari zenu ndugu zangu wa damu,pongezi nyingi kwa kuamka salama
Nimepata hela kidogo nataka ninunue Infinix hot 12i au 10i ipi nzuri zaidi na kama au bora zaidi ?
Karibuni sana
This guy will be of great help to you Chief-MkwawaHabari zenu ndugu zangu wa damu,pongezi nyingi kwa kuamka salama
Nimepata hela kidogo nataka ninunue Infinix hot 12i au 10i ipi nzuri zaidi na kama au bora zaidi ?
Karibuni sana
Mkuu, achana nae huyo! Chukua infinix hot 10i utakuja kunishukuru baadae! Battery 6000 mAh, unakeep data on siku nzima, baada ya masaa 24 kitu inasoma 60%. Display ya kioo ni nzuri, kitu inasupport 4G kwenye SIM CARD zote mbili! Hakika hutojutia!nisinunue ipi sasa
Hivi mkuu unazungumzia Nini hapa? Huoni ungekuwa shambani Sasa hivi unachakarika ingeleta tija? Kwani baada ya miezi mitatu msimu wa mavuno ukija watu tunafurahi tunapata chakula Cha kutosha na kama nchi tunapiga hatua thabit ya maendeleo?Mkuu, achana nae huyo! Chukua infinix hot 10i utakuja kunishukuru baadae! Battery 6000 mAh, unakeep data on siku nzima, baada ya masaa 24 kitu inasoma 60%. Display ya kioo ni nzuri, kitu inasupport 4G kwenye SIM CARD zote mbili! Hakika hutojutia!
sent from my infinix hot 10i
So what?WTF? Are you really serious!
Staaaaapp it!
Shut tha' fakap and stick to the threadSo what?
So what then?Shut tha' fakap and stick to the thread
Hey, cut the looongg shyt shortSo what then?
Sounds childish.Hey, cut the looongg shyt short
Ooh really, oooh my gosh can't believe it. Are you really the same dude I used to know in mirembe?Sounds childish.
Infinix ni nzuri hyo ten I pia ni kali kikubwa angalia sifa kwa kuzichek comparison utofaut ila ni nzur hz tunaita Samsung zilizo changamkaaHabari zenu ndugu zangu wa damu,pongezi nyingi kwa kuamka salama
Nimepata hela kidogo nataka ninunue Infinix hot 12i au 10i ipi nzuri zaidi na kama au bora zaidi ?
Karibuni sana