Nataka ninunue Pikipiki ila nahisi haitokuwa yangu

Nataka ninunue Pikipiki ila nahisi haitokuwa yangu

Habari Wakuu,

Nataka nivute Pikipiki kwaajili ya misele yangu hapa Town.

Tatizo Nikiinunua itakuwa Pikipiki ya Washikaji tu. Muda wote naazimwa, Siwezi kupata muda mzuri wa kuinjoy nayo.

Msaada, nifanyeje kuepuka Washikaji kuniazima Pikipiki mara kwa mara?
Wambie waweke na package ya magongo kwenye hicho kifurushi
 
Amendeleo hayataki mtu awe muoga. Nunua pikipiki halafu. Mtu akiazima anunue mafuta. Baada ya hapo hutoona mtu akija kuazima tena.
 
Habari Wakuu,

Nataka nivute Pikipiki kwaajili ya misele yangu hapa Town.

Tatizo Nikiinunua itakuwa Pikipiki ya Washikaji tu. Muda wote naazimwa, Siwezi kupata muda mzuri wa kuinjoy nayo.

Msaada, nifanyeje kuepuka Washikaji kuniazima Pikipiki mara kwa mara?
hivyo ni vyuma tu ndugu, utanunua..utawanyima washkaji....utajitenga nao...kumbuka kuna maisha mengine, kuna vitu utakosa kutoka kwa wana...hata hivyo baada ya muda we mwenyewe utaichoka na care haitakuwa kama ilivyokuwa awali.
 
Back
Top Bottom