Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
hama mtaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wambie waweke na package ya magongo kwenye hicho kifurushiHabari Wakuu,
Nataka nivute Pikipiki kwaajili ya misele yangu hapa Town.
Tatizo Nikiinunua itakuwa Pikipiki ya Washikaji tu. Muda wote naazimwa, Siwezi kupata muda mzuri wa kuinjoy nayo.
Msaada, nifanyeje kuepuka Washikaji kuniazima Pikipiki mara kwa mara?
Aiseee. Hii umetisha kakaWapigie simu ukiwaomba msaada kuna jambo umekwama wakukopeshe hela, utaona watavyotoka nduki,.. itakuwa umeshawajua then kanunue chombo yako hawatasogea kwa aibu.
Kwanini Package ya Magongo MkuuWambie waweke na package ya magongo kwenye hicho kifurushi
hivyo ni vyuma tu ndugu, utanunua..utawanyima washkaji....utajitenga nao...kumbuka kuna maisha mengine, kuna vitu utakosa kutoka kwa wana...hata hivyo baada ya muda we mwenyewe utaichoka na care haitakuwa kama ilivyokuwa awali.Habari Wakuu,
Nataka nivute Pikipiki kwaajili ya misele yangu hapa Town.
Tatizo Nikiinunua itakuwa Pikipiki ya Washikaji tu. Muda wote naazimwa, Siwezi kupata muda mzuri wa kuinjoy nayo.
Msaada, nifanyeje kuepuka Washikaji kuniazima Pikipiki mara kwa mara?