Nataka nioe mwanamke wa Kisukuma, Wanyantuzu je wapoje?

Ni Kama mke wa Masanja mkandamizaji tu.
 
Uko sahihi ktk hili hutaamini mtu amemtoa shimoni amemtafutia maisha lkn anakuja kumuacha kizembe kabisa.
 
Wanavijidharau vyan hiv ....Hawa wasukuma wenzao black hawawaelewi kabxa
 
Oa HarAka Wewe
Fika Maswa, Itilima, Lalago, Igangabhilili,
 
Siyo kweli bhana
 
Mimi ni mmoja wapo wa makabila uliyoyataja...

Sifa ya kwanza ni

* Wachapa kazi
*Wavumilivu
  • Wabaguzi
  • Wachawi (ushilikina)
*Hawajui kukataa wakitongozwa na hawajutii kuachika na kuolewa mwezi au week hiyo hiyo.
*Warembo sana.
 
Acha ukabila na uvivu. Kafanye homework yako mwenyewe. Tunaweza kukupa ushauri hata wa uongo. Nenda Bariadi, Mwamapalala, Ngeme, Kasoli, Lalago na kwingineko utawajua.
 
Oa tu. Wana bidii ya kazi, wavumilivu hata maisha yawe magumu kiasi gani, ni weupe shingo za upanga
Wezele wamejaliwa
Umalaya sio hobby yao
Agalizo.
Kwa kweli kama ni mwanaume suruali atakuchapa makofi
Ni wakali, na kiburi kwa mbali.

Kifupi hao ndio wasukuma OG
Au wachaga wa kanda ya ziwa
Ni jamii ya kitusi au masai asili yao
 
Hawataki dharau na uwe na majivuno hii Ni kanuni ya kuishi na msukuma yeyote duniani pia uwe na heshima yaani ukikutana nao wewe salimia jifanye lijinga Wala huwezi kuona huo uchawi waliofanyiwa UMUGHAKA na baba yake mdogo.
Sema mkuu Ila Wana kiburi fulani Cha asili Mana hao ndio wasukuma wenye Mali na wasomi wengi wanatokea huko..

Ni kawaida ya kipato kuleta majivuno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…