Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Leo nimechoka ila ipo siku yakoKumbe kuna muda unakuwaga na akili. Nilijuaga wewe ni mwehu.
Unamaanisha nini madam ?Ukiifanya jf ndo dira ya maisha yako.U fail
Unaulizia habari za kuoa kwa vitoto vya chuo, unategemea utapewa majibu ya aina ganiKwa kweli. Huku watamuambia ndoa Ni utapeli
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Anavutia na ni mweupe
Sisi weusi ndio hamtutaki eti
Uko sahihi ktk hili hutaamini mtu amemtoa shimoni amemtafutia maisha lkn anakuja kumuacha kizembe kabisa.Shida yao wakishatoka kwenye mazingira flani magumu wanakuwa malimbukeni wa maisha wanajithamini kuliko waume zao wanaowatafutia maisha, %kubwa wanapenda ushirikina. Kwa nilio waona yaan mnyantuzu akiolewa sehemu hukuti ndugu wa mume pale kwake ila utakuta wanayantuzu (ndugu zake tu)......elewa uchawi UPO! Kingine hawana aibu ya kuolewa hata mara 10 na kuzaa ovyo na kila mwanaume.....mwanamke unakuta ana watoto 8 na kila mtoto baba ake
Siyo kweli bhanaShida yao wakishatoka kwenye mazingira flani magumu wanakuwa malimbukeni wa maisha wanajithamini kuliko waume zao wanaowatafutia maisha, %kubwa wanapenda ushirikina. Kwa nilio waona yaan mnyantuzu akiolewa sehemu hukuti ndugu wa mume pale kwake ila utakuta wanayantuzu (ndugu zake tu)......elewa uchawi UPO! Kingine hawana aibu ya kuolewa hata mara 10 na kuzaa ovyo na kila mwanaume.....mwanamke unakuta ana watoto 8 na kila mtoto baba ake
Acha ukabila na uvivu. Kafanye homework yako mwenyewe. Tunaweza kukupa ushauri hata wa uongo. Nenda Bariadi, Mwamapalala, Ngeme, Kasoli, Lalago na kwingineko utawajua.Naombeni mnipe experience kidogo kwa hawa wanawake wa kinyantuzu jamii ya wasukuma kwa sababu nimempata binti mmoja wa huku Simiyu wilaya ya Bariadi nimempata kabinti ama hakika anavutia na ni mweupeeee.
Nipeni experience kidogo je wanawake wa Kinyantuzu wakoje? Kitabia na mengine kama hayo.