Nataka nioe mwanamke wa Kisukuma, Wanyantuzu je wapoje?

Nataka nioe mwanamke wa Kisukuma, Wanyantuzu je wapoje?

Subiri akupige lile limbwata la kihaya Nshumata utabaki historia tu.

Wachawi sana hao, powa at your own risk usiseme hatukukwambia.

Tumetoka kumzika Massawe juzi tu Bagamoyo na mke na mama yake hawajashiriki mazishi.
Wasukuma wametrend week hizi hadi basi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naombeni mnipe experience kidogo kwa hawa wanawake wa kinyantuzu jamii ya wasukuma kwa sababu nimempata binti mmoja wa huku Simiyu wilaya ya Bariadi nimempata kabinti ama hakika anavutia na ni mweupeeee.

Nipeni experience kidogo je wanawake wa Kinyantuzu wakoje? Kitabia na mengine kama hayo.
Hakuna watu wenye viburi kama hao huko usukumani
 
Hili swala la kukosa uaminifu ni karibu nchi nzima,ingawa kuna baadhi ya mikoa wamezidi,yani hata ukisema unaoa kila mtu anaguna...
Hii nakazia, kuna mikoa imezidi sana.
 
Kila mwanadamu ana sifa yake "There is no single solution for every problem"
Aliwahi kuniambia mwalimu waangu

Naombeni mnipe experience kidogo kwa hawa wanawake wa kinyantuzu jamii ya wasukuma kwa sababu nimempata binti mmoja wa huku Simiyu wilaya ya Bariadi nimempata kabinti ama hakika anavutia na ni mweupeeee.

Nipeni experience kidogo je wanawake wa Kinyantuzu wakoje? Kitabia na mengine kama hayo.
 
Naombeni mnipe experience kidogo kwa hawa wanawake wa kinyantuzu jamii ya wasukuma kwa sababu nimempata binti mmoja wa huku Simiyu wilaya ya Bariadi nimempata kabinti ama hakika anavutia na ni mweupeeee.

Nipeni experience kidogo je wanawake wa Kinyantuzu wakoje? Kitabia na mengine kama hayo.
Karibu sana shemeji.
Oa Wanyantuzu tumejaaliwa utu na utulivu, nguvu pia tunazo.
 
Subiri akupige lile limbwata la kihaya Nshumata utabaki historia tu.

Wachawi sana hao, powa at your own risk usiseme hatukukwambia.

Tumetoka kumzika Massawe juzi tu Bagamoyo na mke na mama yake hawajashiriki mazishi.
Nilikumiss Matola
 
Shida yao wakishatoka kwenye mazingira flani magumu wanakuwa malimbukeni wa maisha wanajithamini kuliko waume zao wanaowatafutia maisha, %kubwa wanapenda ushirikina. Kwa nilio waona yaan mnyantuzu akiolewa sehemu hukuti ndugu wa mume pale kwake ila utakuta wanayantuzu (ndugu zake tu)......elewa uchawi UPO! Kingine hawana aibu ya kuolewa hata mara 10 na kuzaa ovyo na kila mwanaume.....mwanamke unakuta ana watoto 8 na kila mtoto baba ake
 
Subiri akupige lile limbwata la kihaya Nshumata utabaki historia tu.

Wachawi sana hao, powa at your own risk usiseme hatukukwambia.

Tumetoka kumzika Massawe juzi tu Bagamoyo na mke na mama yake hawajashiriki mazishi.
Kuna mmoja alinivalisha libangjri mkononi liliniendesha kweli bahati nzuri niliweza kulitupa na sasa nipo huru sina habari naye tena, kwa akili zake fupi anasema na anaamini nimetekwa na mwanamke mwingine.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Wanyantuzu wako tofauti na wasukuma wengi, wanapenda ushirikina, viburi, kupenda chini na roho mbaya
 
Naombeni mnipe experience kidogo kwa hawa wanawake wa kinyantuzu jamii ya wasukuma kwa sababu nimempata binti mmoja wa huku Simiyu wilaya ya Bariadi nimempata kabinti ama hakika anavutia na ni mweupeeee.

Nipeni experience kidogo je wanawake wa Kinyantuzu wakoje? Kitabia na mengine kama hayo.
na wewe kama siyo myantuzu jiandae kuliwa na mnyantuzu mwenzake mkiwa kwenye ndoa
 
Ila kitandani hawana mapenzi kabisa kalala kama mzimu anakuangalia tu unavyoangaika kuichakataka papuchi yake ukimtazama ni bonge la mrembo na weupe wao unavutia sana
 
Back
Top Bottom