Inauzwa kiasi ganiTurmeric oil
Asante sana hiyo hyperpigmentantion ni tatizo la aina gani?Tumia sunscreen! Unasumbuliwa na hyperpigmentation
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna sisi waduwanzi kupaka mafuta tu ni mtiti..
Na joto hili la dar ni kupiga maji, mwendo.
Weusi uliokithiri unaosababishwa na madhara ya juaAsante sana hiyo hyperpigmentantion ni tatizo la aina gani?
Ningechangia ila kwakuwa mwajuana kwa vilemba vyenu inabidi ninyamaze kimyaaaa@Nifah njoo unisaidie hapa kwenye hii sector yako
We changia tu huyu nimemtag kwasababu ni mbobezi kwa haya mambo anaweza kuongeza kituNingechangia ila kwakuwa mwajuana kwa vilemba vyenu inabidi ninyamaze kimyaaaa
Kweli kabisa jua huwa linanitesa sana so hiyo sunscreen ni mafuta au lotion? na kazi yake ni ipi?Weusi uliokithiri unaosababishwa na madhara ya jua
Ni lotion inazuia madhara ya jua kwenye ngozi, tafuta cosmetic shop inayoaminika waambie wakupe sunscreen inayoendana na ngozi yakoKweli kabisa jua huwa linanitesa sana so hiyo sunscreen ni mafuta au lotion? na kazi yake ni ipi?
Kuna jamaa ni mtanzania mjasiliamali alishinda tuzo Rwanda hivi karibuni, anatangaza biashara yake ya sabuni na mafuta anayotengeneza mwenyewe, muda mwingi anasafiri na Abood kati ya Mailimoja na Kongowe, nimesahau jina lake, ila nimeamini utendaji wa hizo bidhaa nimezitumia nimeona matokeo ya alichokielezea kabla sijatumiaWe changia tu huyu nimemtag kwasababu ni mbobezi kwa haya mambo anaweza kuongeza kitu
So ungenisaidia sasa hapoKuna jamaa ni mtanzania mjasiliamali alishinda tuzo Rwanda hivi karibuni, anatangaza biashara yake ya sabuni na mafuta anayotengeneza mwenyewe, muda mwingi anasafiri na Abood kati ya Mailimoja na Kongowe, nimesahau jina lake, ila nimeamini utendaji wa hizo bidhaa nimezitumia nimeona matokeo ya alichokielezea kabla sijatumia
Asante sana so hapo inamaana ngozi yangu itarudi Ile ya asili baada ya kutumia hiyo sunscreen?Ni lotion inazuia madhara ya jua kwenye ngozi, tafuta cosmetic shop inayoaminika waambie wakupe sunscreen inayoendana na ngozi yako
Unfortunately namba zake zilikuwa kwenye kasha la sabuni sikukumbuka kuzitunza, ila kama una nia ya dhati (japo sijui uko wapi) ila kama ni Dar, Pwani na Moro check na madereva wa Abood wanamfahamu sanaSo ungenisaidia sasa hapo
Absolutely! YesAsante sana so hapo inamaana ngozi yangu itarudi Ile ya asili baada ya kutumia hiyo sunscreen?
Asante sana hivi wanauza kiasi gani hiyo sunscreen?Absolutely! Yes
It depends, but minimum cost is 30kAsante sana hivi wanauza kiasi gani hiyo sunscreen?